Global perspective Human stories
…
continue reading
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
…
continue reading
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
…
continue reading
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world. During UN High-Level week UN News is releasing a daily podcast mini-series, designed to make sense of what’s going on at our New York HQ. Each episode of Focus on the Future will have a main ...
…
continue reading
There’s no denying it - we have to tackle the climate emergency. Burning fossil fuels to get energy has to end. It's doable but it's going to take solutions in every industry, at every scale, in every nation in the world. No Denying It, the UN climate action podcast, brings you the voices of young climate changemakers from across our warming planet. These activists, engineers, and entrepreneurs show us how ...
…
continue reading

1
Maoni kutoka washiriki kutoka maeneo mbalimbali waliohudhuria mkutano wa jamii za asili UNPFII
3:24
3:24
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:24Hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, mkutano wa 24 wa Jukwaa la Kudumu la Watu wa jamii za asili (UNPFII) linaendelea kujadili utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili na kubaini mbinu bora za kushughulikia changamoto zinazowakabili, ukileta pamoja washiriki kutoka maeneo mbalimbali kote duniani. Idhaa ya Kiswahili ya…
…
continue reading
Impact of funding cuts is that millions will die, warns UN aid chiefSudan violence continues to displace thousands who need everything: OCHAHaiti: UNICEF deploys mobile health clinics amid spiralling gangBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
UNESCO: Jazz ni daraja la kudumisha amani, uhuru na mshikamano
4:05
4:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:05Leo tarehe 30 Aprili dunia nzima inaburudika kwa pamoja kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Jazz, Kuanzia New Orleans hadi Nairobi, Tokyo hadi Tunis, miji inawasha taa majukwaani na mioyoni kusherehekea midundo yenye ladha ya kale, ya kisasa na yenye mvuto wa kipekee. Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu , sayansi na utamaduni UNESCO linasema Jazz ni …
…
continue reading

1
Ripoti kuhusu Mpox yazitaja nchi 11 za Afrika, Ulaya, China na Amerika nao wamo
2:03
2:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:03Maambukizi ya ugonjwa wa mpox kutokana na aina ya virusi vya monkeypox clade Ib /ˈmʌŋ.ki.pɑks kleɪd one bee/ (MPXV) yanaendelea kuripotiwa hasa barani Afrika, ambapo mataifa kumi na moja yameripoti maambukizi ya ndani ya jamii katika kipindi cha wiki sita zilizopita. Hiyo kwa mujibu wa ripoti 51 ya Shrika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni, WH…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia ugonjwa wa mpox, na walinda amabini wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo. Makala inamuulika siku siku ya kimataifa ya muziki wa Jazz namashinani tunasalia hapa makao maku kusikia ujumbe wa mwakilishi wa shirika la watu wa jamii za Asili.Maambukizi ya ugonjwa wa mpox kutokana na aina ya virusi vya monkeypox clade Ib /ˈmʌŋ…
…
continue reading

1
Walinda amani wa UN kutoka Bangladeshi na Indonesia wapewa medali nchini DRC
1:49
1:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:49Huko Bunia, mji mkuu wa jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani kutoka Bangladesh na Indonesia, wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wamepatiwa medali kwa mchango wao wa ulinzi wa raia, moja ya jukumu kubwa la ujumbe huo. Assumpta Masso amefuatilia hafla hiyo …
…
continue reading
Children in Gaza are going to bed starving, says UNRWATerrifying aftershocks continue to hamper Myanmar quake responseAfghanistan’s forced returnees need protection: UNHCRBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika mkoa wa Mwanza kaskazini magharibi mwa Tanzania ambapo vijana wameshika hatamu kuboresha mustakabali wao. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na mashinani tunasalia hapa makao makuu.Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kudumisha Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, MONUSCO, umei…
…
continue reading
Gaza: Israel’s aid restrictions highlighted at world courtHealth workers linked to rising ‘medicalization’ of female genital mutilationCondemnation for strike on migrants’ detention centre in YemenBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
AI na teknolojia za kidijitali zaweza kuwa chachu ya kuhakikisha afya na usalama kazini - ILO
2:58
2:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:58Leo ni Siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Kazini mwaka huu ikibeba maudhui “Mapinduzi ya usalama na afya Kazini: Nafasi ya Akili mnemba na teknnolojia ya kidijitali mahala pa kazi” lengo likiwa kudhihirisha nguvu ya AI na teknolojia zinapotumika vyema zinaweza kuleta mabadiliko kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani ILO. Flora …
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Kazini, na juhudi za Umoja wa Mataifa za kusaidia wakulima Sudan Kusini kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Makala tunasalia na usalama kazini na mashinani tunakwenda nchini Kenya, kulikoni?Leo ni Siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Kazini mwaka huu ikibeba maudhui “Mapinduzi ya…
…
continue reading

1
Kampuni Indonesia zachukua hatua kuimarisha usalama na afya pahala pa kazi
3:32
3:32
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:32Huko mashariki mwa Indonesia, kampuni za usindikaji samaki za PT Chen Woo Fisheries na PT Harta Samudra zimeongeza motisha wa kazi miongoni mwa wafanyakazi wake baada ya kuchukua hatua za kuimarisha usalama na afya pahala pa kazi. Hatua hizo ambazo zimeweka mazingira ya staha pahala pa kazi zinafuatia mradi wa pamoja wa shirika la Umoja wa Mataifa …
…
continue reading

1
WFP yasaidia wananchi Sudan Kusini kupambana na mabadiliko ya tabianchi
1:46
1:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:46Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP nchini Sudan Kusini chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Korea KOICA wanaendesha mradi wa kusaidia wananchi katika kilimo ili kujenga ustahimilivu na kupambana na utapiamlo. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa Evarist Mapesa.By Evarist Mapesa
…
continue reading
Ongoing Russian attacks in Ukraine force frontline areas to empty: UNHCRAid teams reach desperate families in Khartoum: WFPMyanmar quake survivors almost defenceless against disease threat: WHOBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Chanjo imepunguza vifo na maambukizi ya malaria Kenya
3:27
3:27
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:27Ikiwa leo ni siku ya malaria duniani mwaka huu ikibeba maudhui ““Malaria inatokomezwa na sisi: wekeza upya, fikiria upya, chochea upya” shirika la afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO limetoa wito wa kuongeza juhudi mara dufu na kutumia kila mbinu kutokomeza ugonjwa huo hatari unaoathiri mamilioni ya watu kila mwaka na kusababisha maelfu kwa maefu …
…
continue reading

1
Uelewa wa Hakibunifu bado ni mdogo lakini ni jambo muhimu sana ulimwenguni – Wakili Joshua Msambila
2:26
2:26
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:26Kesho Aprili 26 ni Siku ya Kimataifa ya Hakibunifu - Siku ambayo ni fursa kwa ulimwengu kukumbushwa umuhimu wa haki kwa watu wanaobuni mambo mbalimbali duniani. Ili kufahamu zaidi kuhusu Hakibunifu tumezungumza na mtaalamu wa Sheria za Sanaa na Hakimiliki, Wakili Joshua Msambila wa nchini Tanzania, kwanza anaeleza kilichomsukuma yeye kujikita katik…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia wakimbizi wa DRC waliokimbilia Burundi, na ujumbe wa Siku ya Kimataifa ya Hakibunifu. Makala inatupeleka nchini Kenya kuangazia ugonjwa wa malaria na mashinani tunasalia hapa makao makuu katika mkutano wa Jukwaa la watu wa asili.Mazingira ya maisha kwa wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC waliongia Bur…
…
continue reading

1
‘Nenda rudi’ ya wakimbizi wa DR Congo nchini Burundi mazingira ya kuishi yakiendelea kuwa tete
2:02
2:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:02Mazingira ya maisha kwa wakimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC waliongia Burundi na kupelekwa katika kambi ya wakimbizi ya Musenyi si endelevu huku wengine wakifanya safari za nenda rudi wakivuka mto uliosheheni viboko na mamba. Taarifa zaidi na Selina Jerobon.By Leah Mushi
…
continue reading
Condemnation for deadly Russian attacks on Ukraine citiesSudan: Hundreds killed and over 330,000 civilians forced to flee shellingClimate change: How mountain communities are scaling new heightsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Chata ya Umoja wa Mataifa inasongesha amani, maendeleo, urafiki na haki za binadamu - Balozi Yabesh Monari
6:42
6:42
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:42Tarehe 25 mwezi Aprili kila mwaka ni siku ya kimataifa ya wajumbe wanaowakilisha nchi zao kwenye Umoja wa Mataifa. Tarehe hiyo mwaka 1945 ndio ulianza mkutano huko San Francisco, Marekani wa wajumbe 850 kutoka nchi 50 waliopitisha Chata ya Umoja wa Mataifa ikilenga kusongesha amani, maendeleo, urafiki na haki za binadamu. Kama unavyofahamu Umoja wa…
…
continue reading

1
Jifunze Kiswahili: Matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI"
1:12
1:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:12Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua matumizi ya maneno "MKALIMANI NA MFASIRI."By Onni Sigalla
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika Chata ya Umoja wa Mataifa inayolenga kusongesha amani, maendeleo, urafiki na haki za binadamu. Je, wajumbe wa Umoja wa Mataifa hufanya nini? Assumpta Massoi amezungumza na mmjoa wao Balozi Yabesh Monari wa Kenya, lakini kwanza ni muhtasari wa habari na ufafanuzi wa maneno.Mratibu wa misaada ya …
…
continue reading
Gazans almost defenceless against rising disease threat, warns UNRWAAI in the workplace is improving workers' safety, says UN labour agencyWHO steps up efforts to end 'fundamental inequalities' of teen pregnancyBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Anna Ndiko: Mfuko wa ERETO tunawezesha mashirika ya watu wa asili Afrika Mashariki kutetea haki za ardhi
2:28
2:28
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:28Mkutano wa 24 wa Jukwaa la Kudumu la Watu wa jamii za asili (UNPFII) hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa linaendelea kujadili utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili na kubaini mbinu bora za kushughulikia changamoto zinazowakabili. Miongoni mwa shiriki wa jukwaa hilo nimwakilishii wa Shirika la Ereto Solidarity Funds…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na harakati za utekelezaji wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu haki za watu wa asili. Makala tunasalia hapa hapa makao makuu na mashinani tunakwenda nchini Burundi, kulikoni?Hali si hali huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli ambako wakimbizi wa ndani wan…
…
continue reading

1
Ujumbe wa Ernest Makulilo kuhusu siku ya Kimataifa ya Kitabu na Haki Miliki
3:31
3:31
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:31Ikiwa leo ni Siku ya Kimataifa ya Kitabu na Haki Miliki ambapo kila mwaka tarehe kama ya leo siku hii huadhimishwa ili kutambua nguvu ya vitabu kama daraja kati ya vizazi na vizazi na tamaduni mbalimbali. Katika makala hii Anold Kayanda wa Idhaa hii amezungumza na mwandishi maarufu wa vitabu vya elimu, Uchumi na uhamiaji, Ernest Makulilo mkazi wa M…
…
continue reading

1
Nzi, panya watapakaa Gaza, UNRWA yahaha kuchukua hatua
1:42
1:42
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:42Hali si hali huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa na Israeli ambako wakimbizi wa ndani wanakabiliwa na hatari za kiafya ambako panya na wadudu kama vile viroboto na nzi wamesambaa kutokana na mlundikano wa taka na ukosefu wa huduma muhimu kama vile maji safi na salama. Assumpta Massoi anaelezea zaidi.…
…
continue reading

1
Māori women and girl survivors of sexual violence face double trauma
14:13
14:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
14:13The Māori women and girls of New Zealand who have survived sexual violence face a double trauma when accessing care, according to Māori activists. Worldwide, nearly one in three women will experience gender-based violence, a statistic that is even higher amongst Indigenous women and girls, especially in the Māori community. Due to the stigma surrou…
…
continue reading

1
UN envoy calls for political will and unity on the road to Libya elections
16:06
16:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
16:06Since arriving in Libya two months ago, UN Special Representative Hannah Tetteh has been engaging with key political figures to address the complex challenges facing the country as it struggles to recover from years of civil strife and multiple crises. While there is general agreement on the need for elections, Ms. Tetteh has told UN News that cons…
…
continue reading
UNRWA chief's outrage at 50 days of Gaza siege by Israeli forces Hunger stalks Ethiopia as UN aid agency halts support amid funding cutsFAO announces $9 million boost to biodiversity restoration effortsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambayo inatupeleka Msasani nchini Tanzania kusikia namna vijana na serikali wanavyolinda Mama Dunia. Pia tunakuletea muhtasari wa habari ujumbe wa Katibu Mkuu, watoto kulinda mazingira DRC, na kifo cha Papa Francis.Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya Mama Dunia, ikilenga kuchagiza hatua ya kuhifadhi sayari d…
…
continue reading
The UN remembers Pope Francis as a ‘transcendent voice for peace’The UN envoy for Haiti calls on the Security Council to stay engaged as gangs continue sowing chaosAsian crime syndicates are expanding worldwide, a new UNODC report warnsBy Matt Wells, UN News
…
continue reading

1
The $300,000 scam that entrapped a US-based woman from Thailand
19:47
19:47
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:47A Thai woman has been talking about how she was tricked into handing over more than $300,000 to a criminal gang that entrapped her in an elaborate scam that began as a supposed case of identity fraud and which led her to believe that she and her family could be facing prison. A new report released by the UN Office on Drugs and Crime (UNODC) says th…
…
continue reading

1
‘Endemic trauma’ of Sudanese people as country marks two years of war
5:24
5:24
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
5:24The people of Sudan are facing “endemic trauma” as the African country marks two years of a civil war, according to a documentary photographer working for the United Nations. Violence has escalated in recent weeks and now the UN estimates that over 30 million people require humanitarian assistance. Famine is devastating five regions and up to 12 mi…
…
continue reading

1
Mine action critical to stability in Lebanon
8:18
8:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:18The recent escalation of violence between Lebanon and Israel has left widespread devastation, and many unexploded weapons in residential and agricultural areas. These hidden threats - remnants of both past and ongoing hostilities - have once again become a significant concern for civilians living in border areas. Stephen Robinson, Mine Action Senio…
…
continue reading

1
Situation in South Sudan risks escalating into civil war amid rise in misinformation
7:18
7:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
7:18The situation in South Sudan remains precarious, with the threat of renewed civil war looming large. A growing concern, according to Lieutenant General Mohan Subramanian, Force Commander of the United Nations Mission in South Sudan (UNMISS), is the dangerous spread of misinformation, disinformation and hate speech, which continue to fuel instabilit…
…
continue reading
Gaza war grinds on with journalists banned, but aid teams make gains in healthcare, water, food and moreDRC violence impacting children and women especially, warns UNICEFMyanmar: risk of disease spread is real and dangerous, warn health teamsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Countries finalize new pandemic agreementGlobal growth to slow to 2.3 per cent this yearSharp increase in grave violations against children in MyanmarBy Dianne Penn, UN News
…
continue reading

1
Uhaba wa fedha watishia ukarimu wa Zambia kwa wakimbizi - UNHCR
2:05
2:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:05Zambia inaendelea kuwahifadhi zaidi ya wakimbizi 106,000, wengi wao wakiwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, Burundi, pamoja na wakimbizi wa zamani kutoka Rwanda na Angola, kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR, ambalo limesema kwa kuzingatia sera yake jumuishi, nchi hiyo inakuza mshikamano na wakimbizi n…
…
continue reading
Hii leo jaridani Assumpta Massoi anamulika masuala ya afya hususan harakati za kukabiliana na majanga yajayo ya afya; wakimbizi huko Zambia ambako sera jumuishi zimewajengea uwezo; Jukwaa la vijana na mchango wa sanaa kwenye usawa na utengamano. Baada ya zaidi ya miaka mitatu ya mazungumzo ya kina, hatimaye leo huko mjini Geneva, Uswisi, nchi wanac…
…
continue reading