Global perspective Human stories
…
continue reading
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
…
continue reading
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
…
continue reading
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world. During UN High-Level week UN News is releasing a daily podcast mini-series, designed to make sense of what’s going on at our New York HQ. Each episode of Focus on the Future will have a main ...
…
continue reading
UN chief condemns latest Gaza killings linked to private aid planGetting help to Ukraine’s frontline communities Digital platforms in spotlight at UN labour conferenceBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Shirika la kiraia lawezesha vijana wa kike kujiajiri badala ya kutumbukia kwenye umaskini
3:36
3:36
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:36Nchini Tanzania ugumu wa maisha na kukabiliwa na vishawishi, umewapa fikra mpya vijana wa kike mkoani Morogoro, mashariki mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ambao sasa wanajimudu kiuchumi, kwa kuanzisha biashara na shughuli za ujasiriamali. Wanasongesha Malengo ya Maendeleo Endelevu, SDGs hususan namba 8 la ajira zenye staha, nan amba 1 la kutokom…
…
continue reading

1
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ashutumu mashambulizi dhidi ya Wapalestina wanaotafuta msaada
1:49
1:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:49Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza kughadhabishwa kufuatia kusambuliwa, kujeruhiwa na kuuawa kwa Wapalestina walipokuwa wakijaribu kupata msaada wa kibinadamu huko Gaza jana Jumapili, Juni Mosi. Selina Jerobon na taarifa zaidi.By Selina Jerobon
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia haki za kibidamu katika ukanda wa Gaza, na hali ya misaada ya kibinadamu huko huko Gaza. Makala yunakwenda nchini Tanzania kusikia harakati za kusaidia vijana wa kike, na mashinani tunakupeleka nchini Uganda kusikia kuhusu mradi wa mlo shuleni.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza kughadhabishwa kufu…
…
continue reading

1
Tumefika mwisho, ni bora kufa kuliko mateso haya: Wakimbizi Gaza
2:53
2:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:53Maisha ya raia wa Gaza ambao karibu wote ni wakimbizi wa ndani yanazidi kuwa mtihani usio na majawabu kila uchao kwa mujibu wa mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa. Mateso wanayopitia nis awa na kuishi jrehanamu, wengi wamekata tamaa na wanaona bora kufa kuliko kuishi katika hali hiyo. Flora Nducha akusimulia madhila ya mmoja wa wakimbizi ha…
…
continue reading

1
A sustainable future means greater collaboration between Global South nations
12:19
12:19
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
12:19In recent years, development efforts have been set back by long-standing obstacles made worse by the COVID-19 pandemic, ongoing conflicts, climate change, rising debt, lack of digital access and growing inequalities. Dima Al-Khatib, Director of the UN Office for South-South Cooperation (UNOSSC) says there’s an urgent need to accelerate progress tow…
…
continue reading
Gaza ‘hungriest place on earth’ as Israel blocks aid: UN humanitarians WHO urges countries to ban flavoured tobacco and nicotine products DR Congo: Violence in Ituri pushes more children out of schoolBy Dianne Penn, UN News
…
continue reading

1
Walinda amani kutoka Tanzania TANZBATT 11 wajivunia kazi zao za kuwaunga mkono raia DRC
2:32
2:32
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:32Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC jimboni Kivu Kaskazini katika kitongoji cha Mavivi tunakutana na walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania, kikosi cha 11, TANZBATT11, wanaohudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo, MONUSCO wakielezea sio tu majukumu yao, bali pia wanajivunia kile wanachofanya kwa kuz…
…
continue reading

1
Licha ya ukata UNICEF yajitahidi watoto nchini DRC warejee shuleni
2:09
2:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:09Wakati ghasia zinazoendelea huko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC zinaripotiwa kusababisha zaidi ya watoto milioni 1.8 kutokuweko shuleni, shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF nchini humo linajitahidi kwa udi na uvumba kuhakikisha watoto wanapata elimu kwani ni haki yao ya msingi. Je ni kwa vipi? Anold Kayanda a…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia hali ya elimu kwa watoto mashariki mwa DRC na Mkutano wa pili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT unaofunga pazia leo jijini Nairobi Kenya. Makala inaturejesha nchini DRC na mashinani inatupeleka katika bonde la Ziwa Victoria, kulikoni?Wakati ghasia zinazoendelea huko Masha…
…
continue reading

1
Malawi inachukua hatua madhubuti kukabiliana na changamoto za makazi - Mercy Bety Dube
2:16
2:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:16Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wan…
…
continue reading
WFP food warehouse stormed by desperate civilians, as starvation loomsThe UN honours the service and sacrifice of peacekeepersA new $15 million initiative to boost sustainable development in the Congo BasinBy Matt Wells, UN News
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno "MISHEMISHE.”By Onni Sigalla
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa ikitupeleka nchini DRC, Sierra Leone na Ghana. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na maana ya neno "MISHEMISHE.”Leo ni Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani ambayo mwaka huu inajikita na maudhui ya “mustakabali wa ulinzi wa amani.”Katika ujumbe wake wa siku hii …
…
continue reading

1
Memories of childhood fuel woman peacekeeper’s drive to serve
8:11
8:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:11"I saw people coming from different parts of the world just to help bring peace in my country,” said Chief Superintendent Zainab Gbla, speaking to UN News just ahead of receiving her award this week for UN Woman Police Officer of the Year. She’s been serving in Abyei, a disputed oil-rich region straddling Sudan and South Sudan, since April 2023, as…
…
continue reading

1
Award-winning gender advocate lauds importance of ‘gender-responsive peacekeeping missions’
10:41
10:41
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:41Squadron Leader Sharon Mwinsote Syme of Ghana is this year’s UN Military Gender Advocate award winner for her work boosting gender equality while serving with the UN peacekeeping mission in the disputed Abyei region (UNISFA) between neighbouring Sudan and South Sudan. She trained over 1,500 UNISFA personnel on gender-responsive peacekeeping in addi…
…
continue reading

1
Walinda amani wa UN kutoka Mongolia waokoa wakazi wa Abiemnhom nchini Sudan Kusini
2:58
2:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:58Kuelekea siku ya walinda amani Mei 29, tunakwenda nchini Sudan Kusini kumulika walinda amani na ulinzi wa raia. Katika taifa hilo changa zaidi duniani walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Mongolia wanaohudumu kwenye Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo (UNMISS) walikuwa msaada mkubwa wakati kijiji cha Abiemnhom kaskazini mwa Sudan Kusini kili…
…
continue reading

1
Ukraine: Mashambulizi ya Urusi dhidi ya raia kwa kutumia ndege zisizo na rubani yaangaziwa
1:44
1:44
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:44Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imehitimisha kwamba vikosi vya kijeshi vya Urusi vimetenda uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu, hasa mauaji, kupitia mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drones) yaliyoelekezwa dhidi ya raia. Anold Kayanda na maelezo zaidi.By Anold Kayanda
…
continue reading
Climate change: World likely to breach 1.5°C limit in next five yearsGaza: 50,000 children killed in less than 600 days warns UNICEFEssential supplies reach Sudanese hospital: WHOBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia haki za binadamu nchini Ukraine na upatikanaji wa elimu nchini Kenya. Makala tunakupeleka nchini Sudan Kusini, na amashinani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kulikoni?Tume Huru ya Umoja wa Mataifa ya Uchunguzi kuhusu Ukraine imehitimisha kwamba vikosi vya kijeshi vya Urusi vimetenda uhalifu wa kivita na uha…
…
continue reading

1
Alice Kamau: Asante UNICEF na wadau ndoto ya mwanangu ya elimu imerejea
2:48
2:48
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:48Mradi wa "operesheni rejea shuleni" unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na wizara ya elimu ya Kenya, shirika liliso la kiserikali la Hapag Lloyd na wadau wengine kwa kuzipa fedha familia zisizojiweza kuendesha shughuli za kiuchumi, umerejesha mautumaini ya elimu kwa mamia ya watoto katika Kaunti ya…
…
continue reading
Gaza: UN agencies call for an aid ‘surge’ as Israeli distribution plan beginsUkraine’s battered communities face ongoing deadly Russian attacksSudan’s health system is on the brink of collapse, warns the WHOBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kuangazia siku ya familia iliyokutanisha wadau wakimulika pamoja na mambo mengine nafasi ya vyombo vya habari katika kuimarisha malezi na makuzi ya mtoto.Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu misaada ya dharura OCHA hii leo imesema wakati mpango tata wa Israeli wa kugawa misaa…
…
continue reading
Alcohol consumption linked to higher risk of pancreatic cancerGaza: Trickle of aid allowed into war-torn enclave ‘will not halt famine’In Lebanon, top marks for an inclusive schooling projectBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Gaza: ‘People feel this is the end,’ UN humanitarians warn
16:43
16:43
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
16:43Until this week, no commercial or humanitarian supplies had been allowed into Gaza since 2 March, deepening an already catastrophic hunger crisis and sparking widespread condemnation from the international community. Supplies from only 115 out of 400 trucks have been cleared for collection and distribution in recent days, which UN humanitarians hav…
…
continue reading
Syria: Humanitarian crisis is looming over shattered countryUN rights chief Volker Türk in peace appeal to South Sudan’s warring sidesReal cost of disasters is 10 times higher than previously thought: UNDRRBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Vijana Kenya watumia mpira wa miguu kutokomeza umasikini na kuishi maisha bora - Peter Omondi
3:06
3:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:06Katika kuelekea siku ya kandanda, kabumbu au mpira wa miguu duniani itakayoadhimishwa Jumapili wiki hii Mei 25 ikibeba maudhui nguvu ya kdandanda katika kuleta mabadiliko tuabisha hodi Nairobi Kenya ambapo leo Peter Omondi, Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Global Youth Forum linalounganisha vijana Kenya kwa lengo la kutokomeza umasikini na kuishi mais…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia haki za kibinadamu za raia nchini Uganda, na simulizi ya mkimbizi nchini Mexico ambaye alikimbia machafuko nchini mwake Haiti. Makala tunakwenda nchini Kenya na mashinani nchini Ethiopia, kulikoni?Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa , Volker Türk, leo Ijumaa mjini Geneva, Uswisi kupitia msemaji wake am…
…
continue reading

1
Raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi, Türk amsihi Rais kukataa muswada - Uganda
1:52
1:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:52Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa , Volker Türk, leo Ijumaa mjini Geneva, Uswisi kupitia msemaji wake ameelezea wasiwasi wake kuhusu kupitishwa kwa muswada uliopendekezwa na Bunge la Uganda unaoruhusu raia kuhukumiwa katika mahakama za kijeshi. Anold Kayanda ameifuatilia taarifa hiyo.…
…
continue reading

1
Mkimbizi wa Haiti aliyepata faraja na matumaini nchini Mexico
2:02
2:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:02Wakati raia wa Haiti Giovanni Rotschild alipowasili Mexico mwaka 2022 baada ya safari ndefu isiyo na uhakika kutoka nchi mwake kulikosheheni ghasia, hakufahamu mtu yeyote wala hakuzungumza kabisa lugha ya kispanyola. Lakini msaada alipata msaada kumwezesha kujenga upya maisha na kupata jamii mpya. Flora Nducha na maelezo zaidi.…
…
continue reading
Gaza: Aid teams pick up vital relief supplies at the borderSouth Sudan exodus continues: UNHCRBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana ya neno "DAHARI."By Dkt. Mwanahija Ali Juma
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini kumsikia mgeni wetu Prof. Wallah Bin Wallah, mwandishi mashuhuri wa vitabu vya Kiswahili kutoka Kenya ambaye anamulika umuhimu wa vitabu katika kukuza lugha ya Kiswahili. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi wa neno.Kwa mara ya kwanza tangu mwezi Februari, msaada wa kuokoa …
…
continue reading
Gaza: aid trucks not allowed to move deeper into GazaOccupied West Bank demolitions continue ‘every day’ as settlers advanceUrgent call for greater vigilance over scam farmsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Ukrainian civilians in dire need of more humanitarian support
8:36
8:36
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:36Russia’s continuing full-scale invasion of Ukraine continues to devastate civilian lives and infrastructure, causing large-scale displacement and destruction. With attacks in the eastern, southern and northeastern frontline regions intensifying, April saw the highest number of civilians killed in Ukraine since last September. As the UN marks Protec…
…
continue reading

1
Mapambano dhidi ya ndoa za kulazimishwa - Fatou Cissé
3:41
3:41
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:41Wakati ulimwengu ukiendelea kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia, tunaelekea nchini Mali, ambako Fatou Cissé, mkurugenzi wa filamu na mwanzilishi wa filamu iitwayo FURU, anatumia sanaa kuangazia suala zito la ndoa za kulazimishwa. Kupitia video maalum iliyoandaliwa na Umoja wa Mataifa, tunapata simulizi hiyo inayohusu wasichana waw…
…
continue reading

1
Mifuko iliyojazwa mchanga yafanikisha Barabara kupitika nchini Kenya
1:46
1:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:46Nchini Kenya, katika kaunti ya Meru hatua rahisi iliyochukuliwa inaleta mabadiliko makubwa na dhahiri kwani maeneo ambako awali barabara zilikuwa hazipitiki na hakuna mawasiliano, ubunifu wa kijapani umerejesha matumaini. Kulikoni? Assumpta Massoi anasimulia kupitia video ya Benki ya Dunia.By Assumpta Massoi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia msaada wa kibinadamu katika ukanda wa Gaza, na mradi wa kutengeneza barabara katika kaunti ya Meru nchini Kenya. Makala tunaangazia simulizi ya mkurugenzi na mwanzilishi wa filamu iitwayo FURU, na mashinani tunakwenda Tanzania.Wafanyakazi wa misaada wa Umoja wa Mataifa leo wamesema kwamba bado wanangoja kibali kutoka kw…
…
continue reading

1
UN: Malori ya msaada Gaza bado yanasubiri ruhusa kusambaza chakula na dawa ndani ya eneo hilo
1:49
1:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:49Wafanyakazi wa misaada wa Umoja wa Mataifa leo wamesema kwamba bado wanangoja kibali kutoka kwa Israel ili kusambaza msaada wa kuokoa maisha ulioruhusiwa kuingia Gaza mwanzoni mwa wiki ambapo malori matano yalifanikiwa kuingia baada ya vikwazo kwa wiki 11. Flora Nducha na taarifa zaidiBy Flora Nducha
…
continue reading

1
Global health milestone: WHO adopts landmark Pandemic Agreement
10:05
10:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:05In a historic milestone for global public health, Member States of the World Health Organization on Tuesday adopted the Pandemic Agreement – an accord aimed at preventing future devastating outbreaks. Negotiations began in the midst of the COVID-19 crisis, and after just three and a half years – a relatively short timeline for crafting complex inte…
…
continue reading
Countries adopt first-ever treaty to guard against future pandemicsUN life-saving aid allowed to trickle into Gaza as needs mount Mass returns push Afghanistan to the brink, as aid levels fallBy Dianne Penn, UN News
…
continue reading