Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
…
continue reading
…
continue reading
Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.
…
continue reading
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
…
continue reading
Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
…
continue reading
…
continue reading
Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
…
continue reading
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
…
continue reading
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
…
continue reading
Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.
…
continue reading
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
…
continue reading
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
…
continue reading
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
…
continue reading
Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
…
continue reading
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
DRC: Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki wamtaka Rais Felix Tshisekedi kuwaamini viongozi wa dini
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00Makala haya yanaangazia taarifa mbalimbali ikiwemo, Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini DRC wamtaka Rais Felix Tshisekedi kuwaamini viongozi wa dini kusaidia kuleta amani na utulivu Mashariki mwa nchi hiyo na pia serikali ya Uganda yawasilisha mswada tata bungeni kuruhusu kesi za kiraia kupelekwa kwenye Mahakama ya kijeshi. Taarifa zingine…
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Robert Francis Prevost achaguliwa kumrithi Papa Francis na kuchukua jina la Papa Leo XIV
20:00
20:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:00Makala haya yanaangazia taarifa mbalimbali ikiwemo, Mmarekani Robert Francis Prevost, achaguliwa kuongoza kanisa katoliki duniani, akichukua jina la Papa Leo wa kumi na nne. Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, chatumbukia katika sintofahamu zaidi kufuatia baadhi ya waliokuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama, kutangaza kujiondoa kwenye …
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Uganda yapitisha mswada kuruhusu raia kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi
9:50
9:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:50Wabunge wa upinzani hata hivyo walisusia kikao kilichopitisha mswada huo kwa haraka. Wanasiasa wa upinzani wanadai mswada huo unawalenga wakosoaji wa rais Yoweri MuseveniBy RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Sehemu ya I: Je, Teknolojia Inaweza Kupunguza changamoto za Biashara barani Afrika?
9:51
9:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:51Leo Katika makala ya gurudumu la uchumi tunakuletea sehemu ya kwanza ya mada kuhusu namna teknolojia inavyoweza kuhusihwa kwenye biashara kutatua changamoto zinazolikabili bara la Afrika, ikiwemo biashara ya kidijitali kuchochea utangamano, kuongeza ufanisi na kuleta maendeleo. Leo nakuletea sehemu ya kwanza ya mazungumzo yangu na Ali Mkimo, mchamb…
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Kauli ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwazuia wanaharakati wa nchi zingine
9:27
9:27
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:27Leo tunaangazia ,hatua ya Tanzania kuwazuia Mawakili, wanaharakati wa haki za binadamu kutoka nchini Kenya, akiwemo Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga waliokwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi mkuu wa upinzani Tundu Lissu. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake haitaruhusu wanaharakati wa kigeni kuingia nchini Tanzania na ku…
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Matatizo ya tezi ya koo ambayo yanaweza kukusababishia matatizo ya akili
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09Matatizo ya tezi ya koo ,kwa kawaida yananaletwa na upungufu au wingi wa madini aina ya iodine ambayo huzalishwa na tezi (thyroid gland). Homoni inapokuwa kidogo hali ambayo inafahamika kama Hypothyroidism, hii inaashiria kwamba tezi inafanya juhudi za hali ya juu kutafuta madini hayo . Mtu aliye na hali hii ,anakuwa hana nguvu ,nywele kudondoka na…
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading
By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Nini kifanyike kumaliza vita vinavyoendelea Sudan,Ukraine na Gaza
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02Viongozi wa dunia, wameendelea kutoa wito wa amani kwenye nchi za Sudan Ukraine na Gaza hizo, ambako vita vimesababisha vifo vya maelfu ya raia na wengine kuwa wakimbizi. Hata hivyo licha ya wito huu, mapigano yameendelea kuripotiwa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Katika makala haya tunazama kuangazia swala zima la demokrasia na uhusiano wake na haki za binadamu. Unavyofahamu mskilizaji demokrasia mara nyingi hotofautiana na mazingira ya nchini mbalimbali duniani. Mara kadhaa swala demokrasia limehusishwa na haki za binadamu, katika makala haya Benson Wakoli anajadili swala hili na muasisi wa shirika la utaf…
…
continue reading

1
CAF: Simba kuchuana na RS Berkane leo kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho
23:58
23:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:58Leo tumekuandalia mengi ikiwemo fainali ya kombe la shirikisho la CAF kati ya Simba na RS Berkane, fainali za Afcon U20, Congo Brazaville yarejeshwa katika soka ya kimataifa, droo kamili ya michuano ya Chan 2024, mkondo wa Nile katika ligi ya basketboli ya Afrika, tuzo za wanasoka bora ligi kuu ya Uingereza.…
…
continue reading

1
Uchakataji wa plastiki katika kuhifadhi mazingira ya bahari na kupata mapato
9:49
9:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:49Jamii za Pwani ya Kenya, zimekumbatia uchakataji wa plastiki kukabili tatizo la uchafuzi utokanao na taka za plastiki ambapo mujibu wa shirika la mazingira la UNEP, kila siku, kiasi sawa cha malori 2,000 ya kuzoa taka yaliyojaa plastiki hutupwa katika bahari, mito, na maziwa ya ulimwengu.By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Kenya: Wanawake Nandi waruka vikwazo kujikwamua kiuchumi
10:06
10:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:06Katika Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili, tunatuama nchini Kenya, na tunaiangazia jamii ya Wanandi, ambapo kama ilivyo kwa mataifa mengi ya kiafrika, wanawake hawapewi nafasi ya kumiliki mali kama ardhi, mifugo – hasa ng'ombe wa maziwa – hali ambayo imesababisha uduni wa maendeleo ya kiuchumi miongoni mwao. Kufahamu kwa undani, ungana na Emman…
…
continue reading

1
Uganda: Serikali yawasilisha mswada bungeni, kutaka raia kushtakiwa kwenye Mahakama za kijeshi
10:10
10:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:10Mswada tata, utakaoruhusu raia wa kawaida kushatakiwa kwenye Mahakama za kijeshi, umewasilishwa bungeni nchini Uganda, Mei 13, 2025. Upinzani unasema, lengo la mswada huo ni kuwalenga wanaopinga kiongozi wa muda mrefu Yoweri Museveni kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2026. Kwanini serikali ya Uganda inataka raia wa kawaida washtakiwe kwenye Mahakama …
…
continue reading

1
Hali ya mafuriko katika mataifa ya Afrika Mashariki na pembeya Afrika
9:56
9:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:56By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Mfano wa Misri wa kupambana na Malaria unaweza kutumika na mataifa ya Afrika
9:50
9:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:50Misri imepambana kwa karibu miaka 100 kabla kupata cheti cha WHO cha kufaulu kutokomeza Malaria Oktoba 2024 Katika mkakati ambao umetumia Misri kuangamiza Malaria ni udhibiti wa Mbu,ambapo serikali iliwekeza kwenye kupiga dawa kwenye maeneo yanayoweza kuwa makazi ya mbu . Ufuatiliaji na ubainishaji wa haraka umechangia pia pakubwa kuushinda ugonjwa…
…
continue reading

1
Historia kuhusu uteuzi wa papa Leo wa XIV, miaka 44 yangu kifo cha Bob Marley
20:15
20:15
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:15Makala ya changu chako chako changu inaangazia kuhusu uteuzi wa kiongozi wa kanisa katoliki duniani, ambapo RFI Kiswahili imezungumza na askofu Sebastian Muyengo wa dayosisi ya Uvira mkoani Kivu kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, na katika utamaduni kabila la wabembe huko Fizi nchini DRC na katika muziki maadhimisho ya miaka …
…
continue reading

1
BAL: APR ya Rwanda inalenga fainali za Afrika watakaposhiriki mara ya pili
23:53
23:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:53Leo tumeangazia michuano ya Afcon U20 ambayo imeingia hatua ya mtoano, ripoti maalum kuhusu APR inapojiandaa kushiriki BAL kwa mara ya pili, debi za soka nchini Kenya na Tanzania zayumbayumba, promota wa ndondi kutoka Uganda ahamia nchini Kenya, uchambuzi wa fainali za ligi za klabu bingwa Ulaya, mechi ya kwanza ya Evra kwenye ndondi ya kuchanganyw…
…
continue reading

1
Msanii sweet Brown wa Beni DRC na mziki wa jamii
20:08
20:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:08Sanaa ya muziki ni dawa inayofariji na kusaidia kutuma ujumbe wa amani kwa jamii amesema msanii wa miondoko mchanganyiko Gloire Tsongo almaarufu sweet Brown fresh Leader mjini Beni katika mkowa wa Kivu kaskazini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, katika mazungumzo maalum na mwandishi wa habari wa RFI Kiswahili Ruben Lukumbuka alipotemb…
…
continue reading

1
Maoni ya waskilizaji kuhusu vipindi vyetu juma hili
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58Juma hili waskilizaji wetu walikuwa na maoni haya kuhusu taarifa zetuBy RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Je kuna hofu ya kutokea kwa vita vya tatu vya dunia
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Katika makala haya tunajadili athari ya vita vya ukraine na Urusi na sasa tishio la vita nyingine kati ya India na Pakistan. Je ni shara ya kutokea kwa vita vya pili vya dunia ? ndilo swali tumekuuliza. Skiza baadhi ya maoni ya waskilizaji.By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
News Zealand kudhibiti mitandao ya kijamii kwa watoto
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55Shaba ya makala haya inalenga news Zealand ambapo serikali inapendekeza marufuku ya matumizi ya mitandao kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka 16, lengo likiwa kuwakinga dhidi ya athari za mitandao. Njia gani wazazi wa kiafrika wanaweza kuwalinda watoto na mitandao ya kijamii? Ndilo swali tumeuuliza na haya hapa baadhi ya maoni yako, skiza mak…
…
continue reading

1
Kodi ya lipa Kadiri unavyopata (PAYE): Athari kwa wafanyakazi na waajiri
10:06
10:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:06Msikilizaji wakati dunia ilipoazimisha siku ya kimataifa ya wafanyakazi, viongozi barani Afrika na hasa kwenye ukanda wa Afrika Mashariki walitangaza nyongeza ya mshahara huku wengine wakitoa ahueni ya ushuru wa mapato. Kwenye makala ya Gurudumu la uchumi juma hili, tunaangazia kodi ya lipa kadiri unavyopata (PAYE) kwa wafanyakazi na waajiri. Kuzun…
…
continue reading

1
Rwanda na DRC zawasilisha mapendekezo kuhusu mkataba wa amani
10:23
10:23
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:23Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zimewasilisha mapendekezo ya rasimu ya mkataba wa amani kwa Marekani, kujaribu kutafuta mzozo wa Mashariki mwa DRC. Nchi hizo mbili zinatarajiwa kutia saini mkataba wa kudumu mwezi Juni, jijini Washington. Harakati hizi, zitazaa matunda ?By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Afrika Mashariki : Sikuku ya leba ina maana gani kwa wafanyakazi
9:48
9:48
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:48Wafanyakazi ndio wanainua majengo, kufundisha watoto, kuwahudumia wagonjwa, kuendesha uchumi wa Afrika Mashariki. Lakini je, haki za wafanyakazi kazini zinalindwa ? kila mwaka Mei mosi dunia huadimisha siku ya kimataifa ya wafanyakazi — na kwenye makala haya, tunaangazia kilio na matumaini ya wafanyakazi wa Afrika Mashariki wanaopigania haki zao za…
…
continue reading

1
Dunia uhuru wa vyombo vya habari na wanahabari
9:36
9:36
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:36Leo mada yetu inajikita kwa siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari, ambapo Umoja wa Mataifa umesema licha ya baadhi ya nchi kupiga hatua katika ulinzi wa wanahabari, hofu ya uhuru wa habari kuendelea kuminywa inaendelea kutanda. Mwaka jana jumla ya wanahabari 82 walipoteza maisha wakitekeleza majukumu yao. Tuambie nchini mwako vyombo vya h…
…
continue reading

1
Mabadiliko ya tabianchi: Hali ya mifumo ya sheria katika kushughulikia ukatili wa kijinsia.
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03By RFI Kiswahili
…
continue reading

1
Historia ya uhuru wa wanahabari na changamoto za usambazaji wa habari za uongo
20:04
20:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:04Karibu mpenzi msikilizaji wa RFI Kiswahili katika Makala Changu Chako Chako Changu maalum kabisa kuhusu historia ya siku ya kimataifa ya uhuru wa wanahabari ambayo huadhimishwa kila Mei 3. Ambapo maadhimoisho haya yanakuja wakati dunia ikikabiliana na changamoto za usamabazaji wa habari za uongo kwa kutumia akili bandia. Mimi ni Ali Bilali Karibu.…
…
continue reading