The Modern Woodworkers Association Podcast brings to you in-depth interviews with woodworkers of note in our community - from outstanding hobbyists to award winning, international woodworkers. We also bring to you a bit of woodworking news and other items of note. And we wrap things up with our fortnightly beer recommendations. Whether you are a hand-tool, powertool, or hybrid woodworker, we think you will find something of interest in every episode.
…
continue reading
MWA Podcasts
Beliefs
…
continue reading
We're reading the Harry Potter novels and podcasting about them! Join us as we walk down the halls of memory and of Hogwarts, Hoggy Warty Hogwarts! We are Alice Sullivan (@alicemsullivan), Micah Sparkman, and Jeff Lake (@jeff_lake).
…
continue reading
Four Louisiana attorneys talking law, politics, social justice issues, and being, black, millennial women in America.
…
continue reading
Your wealth plan shouldn't sit still. Neither do we. That's why our advisors have access to an in-house team for all things wealth management. Because when advisors have access to a more collaborative approach, you get access to more sophisticated solutions.
…
continue reading
Genre shift for MWA#3 Cover art photo provided by Nathan Dumlao on Unsplash: https://unsplash.com/@nate_dumlao
…
continue reading
to laugh; to get the scoop; to cause mischief, these are definitions of the slang word, "kiki". This show is for the eccentric, as well as, the "not quite right" from acid house to zydeco. Expect artists such as Prince, Roy Orbison, Arctic Monkeys, Disocdeine, Stacy Lattisaw, Nina Simone, Abe Vigoda, Felix Mendelssohn, and James Blake, among millions of others! We mix it up, spray paint it, spin it, and slide it to you. So now that you have a visual of The KiKi....it's time for audio penetra ...
…
continue reading
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
…
continue reading
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
…
continue reading
Ni Makala yanayoangazia kwa jicho la tatu mazingira halisi ya dunia yalivyo bila kusahau kile ambacho kinachangia kuyaharibu. Utapata kufahamu namna ambavyo mazingira na rasilimali zinavyoharibiwa huku pia teknolojia ikijumuishwa. Hakika mazingira mazuri ya leo ni dunia yako kesho.
…
continue reading
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
…
continue reading
Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.
…
continue reading
…
continue reading
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
…
continue reading
Remove thyroid nodules without surgery. Consider ablation instead, the non-surgical way to treat benign and malignant thyroid nodules. Hosted by Philip James from the Doctor Thyroid podcast.
…
continue reading
English 112 Cover art photo provided by Bia Andrade on Unsplash: https://unsplash.com/@biawashere
…
continue reading
Travel down memory lane as Scott Joseph Phares talks about his beginnings in music all the way to current day. Plus hear stories and songs as well as interviews with other Artists and Music Business professionals.
…
continue reading
This show is for thyroid patients determined to improve their quality of life, with the best information available. You will gain insight from those who have discovered improved well-being regardless of setbacks, and hear from leading healthcare professionals, including endocrinologists, surgeons, functional medicine practitioners, and radiologists.
…
continue reading
The Mandela Institute for Development Studies (MINDS) is an Africa-wide think tank which provides a forum for dialogue, information dissemination and networking, underpinned by rigorous research on the different elements of African Heritage in order to shape policy and practice on governance, economic development and the evolution of African institutions. Support this podcast: https://anchor.fm/connectingminds/support
…
continue reading
Sikiliza MAELEZO PODCASTS (Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania) kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya Sera na Sheria za habari.
…
continue reading
Welcome to Unblocking Success, a London Drainage Facilities production—'London by name, South East by nature'. With over 17 years of experience and a proud reputation for first-time fixes and outstanding customer service, we are dedicated to exploring the insights and innovations of the service industry. Join us as we sit down with some of the brightest minds in the field—from property and block managers to heads of facilities and visionary entrepreneurs. Each episode delves into their uniqu ...
…
continue reading
1
Juhudi za wazee kukomesha ukeketaji wa wasichana kaskazini mwa Kenya
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04Ukeketaji wa wasichana bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Kenya, licha ya marufuku ya kitaifa na juhudi za uhamasishaji zinazoendelea. Takwimu za Kitaifa KNBS na zile Wizara ya Afya zinaonyesha kuwa asilimia 83 ya wanawake na wasichana wa Marsabit na 66 wa Isiolo tayari wamekeketwa—ikiziweka kaunti hizi miongoni mwa m…
…
continue reading
On this episode we welcome Diane Deery as our guest. Diane is an art instructor at The Hill School in Pottstown, Pennsylvania, where she teaches woodworking and photography. An accomplished artist in her own right, Diane is also a dedicated educator inspiring the next generation of artists and craftspeople. This is a fun and informative conversatio…
…
continue reading
1
Maoni ya Wasikilizaji kuhusu habari zetu juma hili ikiwemo hali mashariki mwa DRC
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Ilivyo desturi ya kila siku ya Ijumaa, ni mada huru. Tunampa msikilizaji wetu nafasi ya kuzungumzia taarifa ambazo tumeziangazia katika habari zetu juma hili, lakini pia matukio mbalimbali nchini mwake.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Chimbuko la kabila la wanande mashariki mwa DRC na Uganda, historia maalum
20:06
20:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:06Makala hii imeangazia kwa kina chimbuko la watu wa kabila la wanande, ambao kati yao wapo ambao wamejikita mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo maarufu kama wayira na pia wengine ambao wamejikita katika mji wa Kasese na maeneo mengine nchini Uganda na ambao wanafahamika kama Bakonzo, kufahamu zaidi sikiliza makala hii na mwandishi wetu Ru…
…
continue reading
1
COP30 uliotamatika jijini Belem, Brazil,, suala la ufadhili wa tabianchi, nishati safi ni miongoni mwa ajenda
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Miongoni mwa mambo yalioamuliwa ni kuhamasisha kiasi cha fedha trilioni 1.3 kila mwaka kufikia 2035 wa ajili ya hatua za tabianchi, kuimarisha fedha uhimilivu mara tatu kufikia 2035. Msikilizaji, suala la kuharakisha ufadhili wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi inasalia kuwa kipaumbele cha dharura hasa kwa nchi zinazoendelea ambazo zina athir…
…
continue reading
1
Wanaharakati wataka uhifadhi wa msitu wa mvua wa Kongo kupewa kipaumbele
9:08
9:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:08Misitu ya mvua barani Afrika kimsingi imejikita katika Bonde kubwa la Kongo, msitu wa pili kwa ukubwa duniani wa kitropiki, unaohifadhi wanyamapori wa kipekee kama sokwe, na tembo wa msituni, pamoja na maeneo mengine muhimu kama vile Misitu ya Guinea ya Afrika Magharibi, misitu ya Afromontane Mashariki, na misitu ya pwani kutoka Kenya hadi Msumbiji…
…
continue reading
1
Ulimwengu washerehekea sikukuu ya Krismasi
10:02
10:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:02Wakristo wanaadhimisha sikukuu ya Krismasi, wakati baadhi ya nchi kama Sudan, Ukraine na Mashariki mwa DRC yakikabiliwa na changamoto za usalama.- Unaadhimsisha sikuu ya Krismasi ukiwa wapi ? Sikukuu ya mwaka huu ikoje ?By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
DRC: Kuondoka kwa waasi wa M23/AFC mjini Uvira kunamaanisha nini ?
9:50
9:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:50Baada ya shinikizo kutoka kwa Marekani, waasi wa M23/AFC waliondoka kwenye mji wa Uvira, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Hata hivyo, rais Felix Tshisekedi ameelezea kitendo hicho kama kiini macho kwa jumuiya ya Kimataifa, kauli ambayo imeungwa na mkono na jeshi la FARDC wanaosema, waasi hao wamejificha katika milima inayopatikana na…
…
continue reading
1
Maandalizi ya timu za mataifa ya Afrika mashariki na kati katika AFCON 2025
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Msikilizaji Mashindano makubwa zaidi ya soka barani Afrika, Kuwania Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 yanaingia katika siku yake ya tatu leo jumanne ambapo jumla ya timu 24 za mataifa ya Afrika zikiwania taji hilo. Leo DRC wanamenyana na Benin, Tanzania wanakutana na Nigeria. Unazungumziaje maandalizi ya nchi za Afrika Mashariki na kati ?Nini…
…
continue reading
1
Tume ya umoja wa mataifa nchini DRC, MONUSCO yaongezewa mwaka mmoja zaidi
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa mwaka mmoja kwa ujumbe wa kulinda amani nchini DRC, wakati mapigano yakiongezeka mashariki mwa nchi hiyo kufuatia mashambulizi mapya ya waasi wa M23. Uamuzi huu unakuja wakati mjadala ukiendelea kuhusu ufanisi wa MONUSCO nchini humo. Je, unaamini hatua hii itasaidia au ujumbe huo umepoteza ua…
…
continue reading
1
Kumbukumbu ya makala za mwaka 2025 sehemu ya pili desemba 21 2025
20:05
20:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:05Karibu katika Makala yetu ya leo Jumapili Desemba 21, wakati tukielekea kutamatisha mwaka 2025, ambapo nakukumbusha baadhi ya makala tulizokuwa nazo mwaka huu, utapata kuskiliza makala kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lakini pia sehemu ya makala kuhusu mambo ambayo ni miiko kutoka makabila mbalimbali, na mwisho kabisa nitakuletea burudani…
…
continue reading
1
Lugha ya kiswahili katika kuimarisha uelewa, uhamasishaji na hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03Wakati viongozi wa dunia, wanasayansi na watunga sera wanapokutana katika miji mikuu ya Dunia kujenga hoja kuhusu hatima ya sayari kupitia mikutano ya tabianchi ya Umoja wa Mataifa, Wataalamu wa lugha,, walimu pamoja na wanafunzi waaendeleza mijadala. Kaulimbiu ukiwa ni namna lugha adimu ya kiswahili inavyotumika katika kupambana na mabadiliko ya t…
…
continue reading
1
Marekani yapiga marufuku kwa raia kutoka mataifa kadhaa kuingia ardhi yake
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Makala hii imeangazia hatua ya hivi karibuni ya rais wa marekani Donald Trump ya kuongeza orodha mpya ya mataifa zaidi yakiwemo ya Afrika ikiwemo Tanzania, ambayo raia wake wanazuiwa kuingia Marekani, tumekuuliza Je? hatua hii ni ya kibaguzi ama inalenga kuulinda usalama wa Marekani? Na kwa mtazamo wako Hatua hii Ina maana gani? Ungana na mwandishi…
…
continue reading
1
Waasi wa AFC/M23 watangaza kujiondoa katika mji wa Uvira DRC
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Kumekuwa na hisia mseto tangu waasi wa AFC/M23 wanaoungwa mkono na Rwanda watangaze kuwa watawaondoa wapiganaji wao katika mji wa Uvira mkoani Kivu Kusini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Je? shinikizo la Marekani litazaa matunda? sikiliza maoni ya wasikilizaji wetu katika makala hii ya Habari rafiki…
…
continue reading
1
DRC: Nini hatima ya Uvira baada ya M23/AFC kuuteka mji huo ?
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Hali ya usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, si shwari licha ya kutiwa saini kwa mkataba unaolenga kusitisha vita ambavyo vimekuwa vikiendelea kwa muda wa miaka 30. Waasi wa M23/AFC wameudhibiti mji wa Uvira. Marekani inaonya kuichukulia hatua Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi hao ambao sasa wameahidi kuondoa vikosi vyake katika mj…
…
continue reading
1
Je una uhakika wa usalama wa nyama unayoila kila mara nyumbani?
10:09
10:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:09Watalaam wa wanyama wanasisitiza wanyama wote wanaochinjwa ni sharti kutimiza viwango vya juu ikiwemo mwonekano ,afya na usafi. Na kabla kuchinjwa wanyama hao kwa mfano ngombe ,hukaguliwa na kutengwa ili kubainisha nyama yao ni salama. Kwa mlaji unashauriwa kununua nyama iliyo na muhuri ambayo ni alama ya kuonesha nyama hiyo imekaguliwa na kuthibit…
…
continue reading
1
MWA585 - Wilbur Pan: 5 Other Questions, and WWing News
42:42
42:42
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
42:42Wilbur returns to answer the 5 Other Questions. We explore dust collection, pine (the other soft wood), and some great tools to add to your gift list. Check it Out! Wilbur Pan Giantcypress.net @wilburpan on Instagram WWing News Lee Valley Clue Boxes Harvey Tools - new Gyro Air G-700Pro Dust Processor Blue Spruce MIDI Card Scrapers Bearkat Wood - Dr…
…
continue reading
1
Ukoloni mamboleo na maendeleo ya bara la Afrika
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Tarehe 14/12 dunia iliadhimisha miaka 60 ya azimio la kupinga ukoloni. Hata hivyo ukoloni katika sura zake za zamani na mpya bado unaathiri jamii zetu leo hii, baadhi wanaita ukoloni mamboleo.Je, ukoloni uliisha kweli Afrika au umebadilika tu? Je unaathiri vipi maendeleo ya Afrika? Nini kifanyike kuukomesha?Kupata mengi ungana na mwanahabari wetu R…
…
continue reading
1
Kituo cha jambo Redio nchini DRC chapokea tuzo kwenye COP30
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Nchini jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Kituo cha Jambo redio, kimejitwika jukumu la kuelimisha jamii kuhusu masuala ya mazingira na tabianchi, lakini muhimu sana ni haki zao. Katika mkutano wa tabianchi uliotamatika jijini Belem nchini Brazil, kituo cha Jambo Redio kilipokea tuzo kutoka kwa shirikika linalotetea haki za wanawake Women Engage for …
…
continue reading
1
Kumbukumbu ya Makala za mwaka 2025 sehemu ya kwanza Desemba 14 2025
20:06
20:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:06Katika Makala haya mtagazaji wako Ali Bilali anakukumbusha baadhi ya makala zilizoruka hewani katika mwaka 2025 ikiwa ni sehemu ya kwanza.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Utamaduni wa kulinda urithi na Uhifadhi wa utamaduni wa kiafrika Nov 16 2025
20:08
20:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:08Jumapili nyingine kabisa tunakutana katika Makala haya Changu Chako Chako Changu, makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali, utamaduni la parler francophone na Muziki Leo nakuletea utamaduni wa kulinda urithi na uhifadhi wa utamaduni wa kiafrika. Kwenye Muziki tutahitimisha na burudani kutoka mwa msanii Aslay katika kibao chake alichoshi…
…
continue reading
1
Historia ya Mizinga ya lamu ndani ya makala Changu Chako Chako Changu Nov 23
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02Juma hili kupitia makala haya utapata kuskia historia ya mizinga ya Lamu huko pwani ya Kenya, lakini pia msanii Baino mzaliwa wa Burundi anaefanya muziki nchini Kenya.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Changu chako kuhusu maswala ya ubunifu kwenye sanaa Novemba 30
20:05
20:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:05Karibu katika Makala Changu Chako Chako Changu Makala ambayo hukuletea Historia ya mambo mbalimbali le parler francophone na Muziki, ambapo leo nakuletea Maonyesho ya ushirikiano na Ufaransa na Kenya katika tasnia ya kitamaduni na ubunifu kupitia mpango wa Création Africa. Na kwenye Muziki nitakuletea mwanamuzi Ibrah kutoka nchini Tanzania…
…
continue reading
1
Mzigo wa usugu wa vimelea tishio kubwa kwa mifumo ya afya barani Afrika
9:20
9:20
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:20Matibabu mengi licha ya kupendekezwa au kuorodheshwa sahihi ,yanakabiliwa na usugu wa vimelea tatizo linalofanya dawa hizo kushindwa kutibu inavyotakikana Dawa za kutibu Malaria ,TB na Kipindu Pindu zimetajwa kuathirika sana ,haswa dawa aina ya antibiotics ambazo hutumika kuwa matibabu ya kwanza ya kuua vimelea.…
…
continue reading
1
Waasi wa AFC/M23 wanaosaidiwa na Rwanda waudhibiti mji wa Uvira nchini DRC
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Waasi wa AFC/M23 wanaosaidiwa na Rwanda, ni rasmi sasa wanaudhibiti mji wa kimkakati wa Uvira jimboni Kivu Kusini, hatua inayokuja licha ya wiki iliyopita DRC na Rwanda kutia saini mkataba wa amani.Tunamuuliza msikilizaji anazungumziaje kilichofanywa na waasi wa M23,,Nini kifanyike? na Je, msikilizaji yuko Uvira au amekimbia kutoka Uvira…
…
continue reading
1
From experience to impact: A leader's journey | Your Life Simplified
1:01:30
1:01:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:01:30Leadership isn't defined by a job title—it's shaped by the experiences, values and people who influence our path. In this episode, host and senior wealth advisor Whitney Reagan sits down with Mariner's Chief Investment Officer, Katrina Radenberg, for a candid conversation about mentorship, growth and authenticity. Together, they explore the moments…
…
continue reading
1
Leo ni siku ya kuadhimisha haki za binadamu duniani lakini ukiukaji waripotiwa
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58Leo ni siku ya kimataifa ya haki za binadamu, hata hivyo dunia inaadhimisha siku hii huku vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu vikiendelea kuongezeka kwenye maeneo mbalimbali duniani, maeneo yenye mizozo vitendo hivi vikiwa vya kuogopesha.Tumekuuliza unafikiri kwanini vitendo hivi vinaongezeka licha ya sheria za kimataifa kuwepo?Hali ya haki za…
…
continue reading
1
Wanasiasa wa upinzani kukabiliwa na vurugu, Uganda
10:08
10:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:08Kampeni za uchaguzi nchini Uganda zimezidi kupamba moto kuelekea uchaguzi mkuu January 15 2025 ambapo Rais Yoweri Museveni aliyeingia madarakani mwaka wa 1986, anagombea tena muhula wa saba huku akishindana na wagombea wengine miongoni mwao mwanasiasa wa upinzani Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu Bobi Wine. Kampeni za mwaka huu zinafanyika huku …
…
continue reading
1
Upinzani barani Afrika waendelea kunyanyaswa na polisi wakati wa kampeni
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Mada ya leo ni kuhusu kinara wa upinzani nchini Uganda Bob Wine pamoja na baadhi ya wagombea wengine wa upinzani wameendelea kunyanyaswa na vyombo vya usalama wanapoendelea na kampeni zao, tume ya uchaguzi ikilaani vitendo hivyo.Yanayofanyika Uganda yanashuhudiwa pia kwenye mataifa kadhaa ya Afrika .Tumemuuliza msikilizaji Hatua hii ya vyombo vya u…
…
continue reading
1
MWA584 - Panning the Plane with Wilbur Pan
1:13:12
1:13:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:13:12On this episode, we’re catching up with longtime friend of the show, Wilbur Pan. Wilbur is a fantastic woodworker and a leading ambassador for Asian woodworking tools and techniques. He recently presented at the Woodworking in America event, and he’s here to share some excellent techniques and insights you’ll want to try out ASAP! Wilbur Pan Giantc…
…
continue reading
1
Vita vyashuhudiwa DRC licha ya makubaliano ya kustisha vita kufanyika
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Licha ya viongozi wa DRC na Rwanda kutia saini mkataba wa amani juma lililopita, mapigano yameripotiwa mashariki mwa Congo kati ya waasi wa M23 na jeshi la Serikali FARDC.Tulimuuliza mskilizaji Je hii ni ishara kuwa mkataba waliotia saini haujazaa matunda ,nani wakuwajibishwa kwa kinachotokea na Nini kifanywe kuleta utulivu mashariki mwa Congo,,…
…
continue reading
1
Maoni ya waskilizaji kuhsu taarifa zetu juma hili.
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03Kila ijumaa rfi inakupa nafasi kuchangia mada yoyote kupitia makala ya Habari Rafiki. Skiza kilichopewa kipao mbele kwenye makala ya juma hili.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
DRC/ Rwanda : Marais wasaini awamu ya mwisho ya mkataba
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Shaba ya makala haya inalenga nchini DRC, viongozi wa DRC marais Paul Kagame na mwenzake Felix Tshisekedi wamesaini, awamu ya mwisho ya mkataba wa amani. Tumekuuliza Je, unadhani wananchi wa mashariki mwa DRC watanufaika moja kwa moja na makubaliano ya worshington?By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
EAC : Wanasiasa wanatumia wahuni kujihami
10:03
10:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:03Katika makala haya tujadili hatua ya ongezeko la visa vya wanasiasa wa upande wa serikali na upinzani kutumia makundi ya vijana au wahuni kutisha na kuvuruga mikutano ya mahasimu wao wa kisiasa hili likifanyika hata kwenye mitandao. Tunakuliza unafikiri kwa nini wanasiasa wanaendelea kutumia makundi ya vijana au wahuni katika siasa. skiza makala ha…
…
continue reading
1
Viongozi wa DRC na Rwanda kutia saini makubaliano ya amani, huko Washington DC
10:14
10:14
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:14Makala ya wimbi la siasa, imeangazia hatua ya viongozi wa Rwanda na DRC ambao siku ya alhamisi desemba 04 watatia saini makubaliano ya amani, mbele ya rais wa Marekani Donald Trump hii ikiwa ni mwendelezo wa mapatano ya amani mashariki mwa DRC yaliyosimamiwa na Marekani yaliyotiwa saini na mawaziri wa mambo ya nje wa nchi hizo mbili juni 27. Profes…
…
continue reading
1
Uganda: Je midahalo ina manufaa kuelekea uchaguzi
9:22
9:22
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:22Nchini Uganda, wawaniaji wa urais wameshiriki mdahalo kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao, huku rais Museveni akisusia mdahalo huo. Je, unafikiri midahalo huwa na mchango wowote kwa wapiga kura kuelekea siku ya uchaguzi? Skiza baadhi ya maoni ya waskilizaji.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Kwa nini ni muhimu kuwafikiria akina mama na watoto kwenye kampeni ya magonjwa yaliyosahaulika
9:45
9:45
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:45Ripoti nyingi huonesha kuwa idadi kubwa ya wagonjwa wanaougua magonjwa yaliyotengwa au kusahaulika ni akina mama au watoto Hii ni kutokana na wao kutangamana moja kwa moja na mazingira ambayo huwa makazi ya vimelea vinavyosababisha magonjwa mbali mbali. Vimelea hao hukaa mchangani,kwenye maji au hupatikana kwenye kinyesi .…
…
continue reading
1
MWA583 - Kate Swann & Meighan Hornady; 5 Questions & WWing News
27:39
27:39
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
27:39Kate & Meighan of the Florida School of Woodwork return to answer the 5 Questions. We explore their favorite tools, seasoned and unseasoned woodworkers, and more. It's a fun and entertaining conversation. Check it Out! WWing News Lefkowitz Shave Horse Plans & Alexander Brothers’ Kits Lee Valley Tools - New Veritas Miter Plane Andy Klein’s new Blade…
…
continue reading
1
Siku ya kimataifa ya kupambana na virusi vya ukimwi
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Siku ya kimataifa ya mapambano dhidi ya UKIMWI, Umoja wa Mataifa unasema kupungua kwa misaada kunatishia dunia kufikia lengo la kudhibiti ugonjwa huu ifikapo mwaka 2030, huduma za kinga zimevurugika hasa kwenye nchi masikini. unazungumziaje siku hii, je dunia tumepiga hatua kukabiliana na ugonjwa huu? Skiza maoni ya baadhi ya waskilizaji.…
…
continue reading
1
Mabadiliko ya tabia nchi yanayovyochochea magonjwa ya milipuko
10:08
10:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:08Tafiti zimeonesha kuwa magonjwa mengi ya milipuko haswa barani Afrika yanachochewa na mabadiliko ya tabia nchi Mafuriko ,ukame au kupanda joto yanaweza kusababisha kusambaa kwa haraka kwa vimelea vinavyosababisha magonjwa au kuzaana kwa haraka.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Viongozi wa umoja wa ulaya na umoja wa Afrika wakutana Luanda Angola
10:08
10:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:08Viongozi wa Afrika na wale wa umoja wa Ulaya wamekutana nchini Angola, lengo likiwa ni kuimarisha ushirikiano wa usalama na kiuchumi, rasilimali za bara hilo zikimulikwa na mataifa yenye nguvu ambayo yameongeza kasi ya uwekezaji kwenye bara hilo. Tumekuuliza unaamini ushirikiano uliopo unanufaisha pande zote ? Ushirikiano wa aina gani Afrika inapas…
…
continue reading
1
MWA582 - Florida School of Woodwork's Exciting Next Chapter
51:56
51:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
51:56On this episode, we welcome back Kate Swann and Meighan Hornady from the Florida School of Woodwork. Kate founded the school in 2004 and has served as its Executive Director ever since. We chat with Kate and Meighan about the exciting new chapter ahead for the School. Check it out! Episode Links - Next Generation of Young Makers: Garrett R Pratt - …
…
continue reading
1
Vitendo vya utekaji kuongezeka Nigeria na baadhi ya nchi za Afrika ya kati
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Msikilizaji juma lililopita watu wenye silaha waliwateka wanafunzi zaidi ya 300 pamoja na waalimu katika shule moja kwenye jimbo la Niger nchini Nigeria, tukio linalojiri siku chache tangu kutekwa kwa wanafunzi wengine 25 katika shule ya wasichana kwenye jimbo la Kebbi pia huko Nigeria. Vitendo vya utekaji wa watoto vinazidi kuongezeka katika nchi …
…
continue reading
1
Maoni ya mskilizaji kuhusu matangazo yetu
10:05
10:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:05Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi ya kuchangi mada yoyote kuhusu taarifa na vipindi vyetu au kile kinafanyika hapo ulipo. Skiza maoni ya waskilizaji juma hili.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania : Rais Samia amuteua mwanawe kuwa naibu waziri
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Tunajadili hatua ya viongozi kadhaa wa Afrika akiwemo rais wa Uganda, Yoweri Museveni, na rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, wamewateua watu wa familia zao katika nafasi za serikali, hali hii ikionekana kwenda kinyume na maadili ya kazi. Tunakuuliza Je, uteuzi wa ndugu serikalini ni sahihi au si sahihi? skiza Makala haya…
…
continue reading
1
Kenya : Vyama vya kisiasa vina umuhimu kujenga demokrasia
9:56
9:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:56Katika makala haya tunaangazia nchi ya Kenya ambapo chama cha ODM kilichokuwa cha waziri mkuu wa zamani hayati Raila Odinga, kimeadhimisha miaka 20 tangu kuasisiwa kwake. Tunauliza je vya kisiasa vina mchango gani katika kuimarisha demokrasia hapa Afrika? Skiza makala haya.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Aliyekuwa rais wa Malawi , Lazarus Chakwera kuteuliwa na Jumuiya ya madola kuwa mpatanishi wa mzozo wa kisiasa nchini Tanzania, hasa baada machafuko ya kipindi cha uchaguzi. Tunakuuliza , unafikiri rais Chakwera atafanikiwa kusuluhisha mzozo wa kisiasa nchini Tanzania.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Utamaduni wa wamasaai katika swala la Twahara na msanii Mistachampagne
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10Makala haya, mtangazaji wako ametembelea jijini Arusha Tanzania katika makumbusho ya Kimasai kuzungumzia mambo mbalimbali ya tamaduni za kimaasai hususan katika swala la Twahara.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Siku kuu ya mashujaa nchini Kenya ya kila Octoba 20
19:29
19:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
19:29Maadhimisho ya siku ya mashujaa nchini KenyaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Mzigo wa ugonjwa wa Kisukari nchini Sudan Kusini unavyowawaliza wengi
9:52
9:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:52Sudan Kusini kando na kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa Kisukari ,upatikanaji wa matibabu bado ni changamoto kubwa Watalaam nchini humo wanahoji mabadiliko ya mtindo wa maisha kama chanzo cha ongezeko la visa hivi.By RFI Kiswahili
…
continue reading