Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.
…
continue reading
Hii Podcasts
Vatican News vipaumbele vyake: Habari za Baba Mtakatifu; Vatican, Kanisa la Kiulimwengu na Kanisa Barani Afrika. Tunazo habari za kisiasa na kijamii kutoka Barani Afrika na Dunia katika ujumla wake. Tovuti hii inapambwa na Tafakari ya Neno la Mungu pamoja na Makala mbali mbali. - Podcast - Radio Vaticana - Vatican News
…
continue reading
Karibu katika Podcast rasmi ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), inayoangazia mazungumzo ya kina kuhusu Uhifadhi wa Maliasili zilizopo ndani ya Hifadhi za Taifa, Elimu ya Uhifadhi, Utalii pamoja na Fursa za Uwekezaji. Vipindi vya Podcast hii vinajadili mikakati ya uhifadhi endelevu, ukuaji wa utalii, na ushirikiano na wadau wa maendeleo kwa lengo la kuhakikisha Rasilimali za Taifa zinatunzwa kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
…
continue reading
HII is a global, all-domain defense partner, building and delivering the world’s most powerful, survivable naval ships and technologies that safeguard our seas, sky, land, space and cyber. As America’s largest shipbuilder and with a more than 135-year history of advancing U.S. national defense, we are united by our mission in service of the heroes who protect our freedom. HII’s diverse workforce includes skilled tradespeople; artificial intelligence, machine learning (AI/ML) experts; enginee ...
…
continue reading
Hii.
…
continue reading
Hii , not good bye !
…
continue reading
Hii
…
continue reading
Live From the Sticks!! Listen at your own risk, we talk freely over here!! Any topic, check us out!!
…
continue reading
Tuzungumze Kifaransa Pamoja (Let’s Speak French Together) ni podikasti bora kabisa ya kujifunza Kifaransa hatua kwa hatua, kwa vipindi vifupi, wazi na vya vitendo. 🎧 Kila wiki, Mwalimu Philippe anakuelekeza kupitia hali halisi za maisha: kuagiza kahawa, kununua mkate, kuuliza njia, na mengine mengi. ✅ Imeundwa kwa wanaoanza na wale wanaorudia kujifunza, podikasti hii hubadilisha kati ya Kiingereza na Kifaransa ili kukusaidia kujifunza bila msongo wa mawazo — kwa mazungumzo rahisi, msamiati m ...
…
continue reading
Hii
…
continue reading
Kwa habari za aina mbalimbali na burudani tembelea PODCAST hii,@bvoicenewS
…
continue reading
Hii
…
continue reading
H-hi...i mostly lay in bed and play music...im really shy & nervous...ik my pod casts are bad...s-sry for that...
…
continue reading
Are you someone who craves for financial independent, be able to make smart and sexy financial decisions and own up your money, but not knowing the how? You are in the right place! This podcast is filled with practical strategy, mindset, self-care & wellbeing to help you get clarity on your entrepreneurship journey. You will leave every episode feeling empowered and ready to take action in creating your unique version of abundant life.
…
continue reading
Hi,I am a girl watching life (duh) hope you enjoy listening.
…
continue reading
A universal station that takes the EGO as HII as an EGO...
…
continue reading
Hii my name is Neil. Entrepreneur on journey Follow me along I'll share my stories. Follow me for great podcast 😎
…
continue reading
Hii, iam 19 yrs young guy from india spreading love and happiness since 1997* to know more contact me love you all!!!!
…
continue reading
Hii, actually I don't know what to write. I just want to share my thoughts with you. I hope I can make you happyy
…
continue reading
Hii
…
continue reading
Hii I'm lonely_min your very own Diary friend! I give song recommendations, Gossip, life chapters and many more! Basically to keep you company; let's be friends (=^・ェ・^=) I host two podcasts : Lonely Min and Peach Tea! Follow me on instagram @peach_014.tea
…
continue reading
Nikiwa Kama mwanahabari chipukizi naamini kuwa siku moja nitatimiza ndoto zangu lakini marafiki ndugu na jamaa wote na Kila mtu ndio nguzo yangu katika hii fani . Mimi sio mkamilifu endapo Kuna mahali nimekosea kwa kile ambacho nafanya Basi nitashukuru nikipata mtu na kuniongoza . Katika podcast hii hutuma habri na maelezo mbali mbali ya kijamii .
…
continue reading
Hii my name is Eddie, friends call me "jiffy". This podcast is about my life. I am 25 years young but i have some crazy stories.
…
continue reading
Redio podcast hii inalengo la kuhabarisha,burudisha na kuelimisha kwa kukuletea habari moto moto sanjari na matukio ya kijamii yasio chacha yanayo jiri kutoka kila sehemu Duniani kote. B-Voice Radio Dunia moja habari pamoja!
…
continue reading
Hi,I am Sudip. Welcome to my podcast, where I talk about various things with special focus on Running, Lifestyle, Music, Poetry and Travel. Sometime I have guests.. Sometime me talking to the infinity.. in Bengali, English and Hindi..
…
continue reading
Hii Everyone I'm Ankita Sinha..I love to sing,dance and much more.U can Go and Subscribe my channel on YT -Ankita Sinha......In this season or ep I'm going to tell you how to be motivated and 'bout singing and dancing and much more crazy thingz.... Thank you
…
continue reading
Hii This is Yami . I like to recite poem or song . Hope u like it
…
continue reading
Hii I am Dr samridhi , Turning up and down the Hills with experience , diving into science and connects to some beautifull souls I developed the urge to inspire people around me . Come and join in this beautifull journey with me and seek light .
…
continue reading
Hii my bookify channel provide book summary and motivation. My bookify I'd provide great content about book.
…
continue reading
Hii ni Podcast ya Maarifa ya Uislaam kwa ajili ya kujifunza mambo mbali mbali kuhusu dini yetu ya Uislaam
…
continue reading
Hii! I'm MONJI SALAH, let's know each other, I'm sure it will be Fyn 😁😁
…
continue reading
Hii, Its Vishnu Rajendran here... This Series in concentrating on Sherlock Holmes and the investigations followed by him to catch the culprits. Please support us... We do have a YouTube channel VVLOGS VISHNU, Please subscribe our channel too.... https://youtube.com/c/VVLOGS89
…
continue reading
RICHLIT FOREX ACADEMY, Hii ni jukwaa la masomo la mtandaoni lililokusudiwa kuelimisha na kutoa rasilimali kwa watu wote ambao wana nia ya kujifunza biashara ya forex au wanataka kuboresha ufahamu wao wa biashara. Mwanzilishi wa RICHLIT FOREX ACADEMY ndiye mfanyabiashara wa kwanza wa vijana ..
…
continue reading
Hii guys, my name is Pranaya. My podcast is about how you will be positive in this negative world, how you can achieve your goals, dreams And how to stay positive in your life cycle. If you listen to the podcast and change your life, I will be very happy. Thank You!
…
continue reading
Utashi wa Kihisia ni uwezo wa kudhibiti na kuratibu hisia zako ili zilete mguso chanya katika nafsi yako. Katika podcast hii utajifunza namna bora na sheria za kinafsi, kujenga na kujiimarisha katika utashi wa Kihisia
…
continue reading
hii listerens... here we talk about the life experiences,,, about society,,, also about the relationships 👉Season 2 : New Episode daily Tuesday 💜
…
continue reading
Hii This is Abhash Jha. I am a Singer , Songwriter , Composer , Poet and a Storyteller. Here I narrate stories and poems which you don't want to miss. So come , Let's live this saga together. You can also Listen to my songs , And I am sure you'll love them too. Thank you for your support !! Instagram - @abhash19 Youtube - Rhyme Attacks Business enquiries : [email protected]
…
continue reading
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
…
continue reading
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
…
continue reading
Hili ni Jukwaa linalowasaidia wajasiriamali wenye uchu wa mafanikio makubwa kama wewe, kupata wateja kirahisi mtandaoni. Nimetumia mbinu nyingi kuvutia wateja. Zipo zilizofaulu, na zilizofeli. Nime'Master zaidi zilizofaulu hatimaye internet imebadili maisha yangu. Kutoka 12,000 kwa siku, hadi Mil.3 kwa mwezi. Ungana nami hapa Ni'share nawe experience yangu. Ideas, mbinu na hata vitendea kazi ninavyotumia kupata mafanikio hayo. Hii ni njia yangu ya mafanikio (My path to success). Jifunze chuk ...
…
continue reading
Hii Helloo Vanakam !! It's a random man talking about random things which we felt in our life and Will definitely trigger those moments . Apart from Talking and Listening , Feeling the Moments is Best ❤️ Insta : https://instagram.com/kadhaippoma_lets_talk?igshid=nlru18aa4ldf
…
continue reading
Hii, My Name is Rohit Mewada owner www.HindiMeHelp.com I am a Blogger, Love to Help EveryOne! In This Podcast Series I'm going to share my Experiences and Learning with you in Hindi, Where you can learn more about Internet, Blogging, Social Media, Make Money Online and more. Connect with me on Social Media. www.RohitMewada.com/me.html ---- Send me a Audio Message: https://anchor.fm/rnmewada/message
…
continue reading
Hii!! Welcome to The Sensitive Subject family! Brothers and sisters we made this podcast to become one! This is our safe space to discuss all topics that are sensitive to our hearts and even controversial. This is a place of positivity, uplifting one another, on a higher frequency. So join us, so we can all grow together through this journey.
…
continue reading
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ...
…
continue reading
Sacred Heart Valley is a Heart Conscious Valley. In another word, it is a Heart Healing Valley. Imagine you arrive here in the community, you are welcome, but a community member and you feel so familiar with this person, and you feel you have known this person for aeons. You do not know what you are here, but it has its magnetism and feeling the remembrance of returning home, returning to your body and returning to your heart and unit with you soul. In Sacred Heart Valley, we share our voice ...
…
continue reading
Ujumbe Muhimu Sana Kwa Wagonjwa Wa GOITA Kama wewe ni mgonjwa wa GOITA ambaye umekuwa unahangaika kwa muda mrefu na tatizo hilo bila ya kupata utatuzi wa uhakika basi naomba unisikilize kwa makini kabisa kwani huenda taarifa ifuatayo ikawa taarifa muhimu kuliko taarifa yoyote katika maisha yako. Baada ya kuwasaidia zaidia ya wagonjwa 200 wa GOITA nimekuja kugundua kuwa tiba ya ugojwa huo sio upasuaji tu kama madaktari wengi wanavyodai bali ni jambo ambalo ukilifahamu utaweza kuondokana na ta ...
…
continue reading
Hii!! I wanted to introduce myself..hey girl hey. I'm a little crazy! 😜I'm a little out there 👽While being my true self 👽😜 Forgive me, I don't have a fancy intro or outro, microphone, mainly cause I ain't fancy. I will swear, fart and burp, cause I'm normal. I'm a health coach at Steph Miller Fitness specializing in giving you permission to take baby steps, and to start loving yourself the way you are! My goal in our community is to bring you a balanced life where its okay to eat the chips a ...
…
continue reading
Value Investing, Life & Philosophy and Classical Music Explained by Vitaliy Katsenelson
…
continue reading
Nice
…
continue reading
1
Uchaguzi mkuu Tanzania: Waangalizi wasema haukuzingatia vigezo vya demokrasia
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02Katika makala yetu leo tunaangazia pakubwa Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania ambapo Rais Samia Suluhu aliapishwa siku ya Jumatatu kuongoza muhula wa pili, hata hivyo ni uchaguzi ambao ulikumbwa na utata huku waangalizi kutoka jumuiya ya Afrika kusini SADC na wale wa umoja wa Afrika AU wakisema haukuzingatia vigezo vya demokrasia. Tunaangazia pia taarif…
…
continue reading
https://traffic.libsyn.com/secure/intellectualinvestor/269_London_and_Scotland3A_Musicals2C_Markets2C_and_Memories_-_Part_3.mp3 📩 Join 100,000+ readers on my FREE weekly email newsletter: https://investor.fm/signup-for-articles/ You can read the full letter here: https://investor.fm/2025-fall-letter/ 📚 Get my books: Soul in the Game – https://amzn.…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Trump atishia kutumia jeshi la Marekani kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Katika makala ya Habari Rafiki hii leo tunazungumzia hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kutumia jeshi la nchi yake kupambana na wanajihadi wanaowauwa Wakiristo nchini Nigeria. Kauli hii imewakasirisha viongozi wa Nigeria, ambao wanasema serikali nchini humo, haiungi mkono unyanyasaji wa kidini. Tumemuuliza msikilizaji anazungumzia vipi…
…
continue reading
…
continue reading
https://traffic.libsyn.com/secure/intellectualinvestor/268_The_Ability_to_Suffer_-_Part_2.mp3 📩 Join 100,000+ readers on my FREE weekly email newsletter: https://investor.fm/signup-for-articles/ You can read the full letter here: https://investor.fm/2025-fall-letter/ Previous client letter: https://investor.fm/cost-plus-capitalism-lessons-from-hii-…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Vurugu zaugubika Uchaguzi mkuu nchini Tanzania na hali nchini DRC
20:06
20:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:06Uchaguzi mkuu uliofanyika katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania, na ambao uligubikwa na maandamano; mkutano wa Paris nchini Ufaransa kuhusu amani ya mashariki mwa DRC na eneo la maziwa makuu, siasa za nchini Kenya, Uganda lakini pia mauaji yaliyotekelezwa na kundi la RSF nchini Sudan, hali nchini Cameroon na Madagascar, kurejewa kwa mashambulizi n…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Tanzania : Maoni ya waskilizaji kuhusu uchaguzi wa Tanzania
9:55
9:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:55Nini kilikukera kuhusu uchaguzi wa Tanzania ? Skiza maoni ya waskilizaji wetu.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Maoni ya waskilizaji kuhusu matukio ya juma hili
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote kuhusu matukio ya dunia. Skiza maoni ya waskilizaji juma hili.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
https://traffic.libsyn.com/secure/intellectualinvestor/267_The_Art_of_Rational_Irrationality_-_Part_1.mp3 📩 Join 100,000+ readers on my FREE weekly email newsletter:https://investor.fm/signup-for-articles/ You can read the full letter here: https://investor.fm/2025-fall-letter/ Picture on x.com: https://x.com/vitaliyk/status/1966606901270995163 📚 G…
…
continue reading
1
Kenya : Mitandao ya kijamii inasababisha matatizo
10:04
10:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:04Gazeti la The Star nchini Kenya limewahi chapisha ripoti inayoonesha namna mitandao ya kijamii inavyoathiri watu kwa kusababisha wasiwasi, matatizo ya afya ya akili na athari nyinginezo. Tunakuuliza Je, maisha ya mitandao yanatusaidia kama jamii au yanatuumiza? skiza maoni ya waskilizaji wetu.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania : Raia wajitokeza kumchagua rais na wabunge
10:01
10:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:01Shaba yetu katika makala haya inalenga nchi ya Tanzania ambapo raia wameshiriki uchaguzi kumchagua rais na wabunge. Je, unauzungumziaje uchaguzi wa Tanzania? Haya hapa maoni ya waskilizaji.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
Djibouti limekuwa taifa la hivi punde kuondoa rasmi kikomo cha umri wa rais , hatua inayotoa fursa kwa rais Ismail Omar Guelleh kugombea muhula wa sita katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili mwaka ujao. Awali Katiba ya nchi hiyo ilikuwa inamzuia rais kugombea tena baada ya kufikisha miaka 75. Hali hii pia imeonekana kwenye mataifa kadhaa ya Af…
…
continue reading
…
continue reading
1
TANAPA PODCAST EPISODE 14: MILA, DESTURI NA TAMADUNI KATIKA UHIFADHI WA MALIASILI.
55:20
55:20
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
55:20Episodi hii inaangazia mila, desturi na tamaduni katika uhifadhi wa maliasili, hususan namna jamii ya Wangoni kutoka mkoani Ruvuma ilivyotumia majina na utamaduni wao kulinda Wanyamapori na Misitu tangu enzi za mababu zetu. Hadithi hii ya kuvutia inaonesha jinsi urithi wa jadi ulivyokuwa chachu ya kulinda rasilimali za Taifa ambazo leo hii zinachan…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Rais W.Ruto amtunuku hayati Raila Odinga, nishani ya juu zaidi, hali mashariki ya DRC
20:03
20:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:03Hatua ya rais wa Kenya William Ruto kumtunuku aliyewahi kuwa waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani nchini Kenya, hayati Raila Odinga, nishani ya juu zaidi nchini, kukamatwa kwa makamu mwenyekiti wa chama cha Chadema nchini Tanzania, John Heche, DRC na Rwanda zakubaliana juu ya mchakato wa upatikanaji wa amani chini ya upatanisho wa Marekani, uchaguzi…
…
continue reading
1
KILA SIKU YA IJUMAA KWENYE KPINDI CHA HABARI RAFIKI NI MADA HURU
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Leo ni siku ya mada huru. Tunakupa nafasi kuzungumzia suala lolote ambalo limetokea nchini mwako wiki hii Unaweza pia kujadili kile ambacho umekisikia katika matangazo yetu ya wiki hii kwenye redio.By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
1
WANASAYANSI VIONGOZI WAKUTANA AFRIKA KUSINI KUJADILI AFYA BILA UFADHILI WA NJE
10:00
10:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
10:00Viongozi wa dunia, wataalam wa Afya na wanasayansi wanakutana Afrika Kusini siku chache kabla kikao cha G20, ili kuanganzia kuhusu njia za kufadhili afya bila kutegemea ufadhili wa kigeni.Tumemuuliza msikilizaji maoni yake kuhusu uwezo wa mataifa ya Afrika kufadhili miradi ya afya?By RFI Kiswahili
…
continue reading
…
continue reading
https://traffic.libsyn.com/secure/intellectualinvestor/266_My_article_in_the_WSJ.mp3 📩 Join 100,000+ readers on my FREE weekly email newsletter: https://investor.fm/signup-for-articles/ The Wall Street Journal link: https://www.wsj.com/opinion/the-robots-that-handle-your-amazon-orders-0eb2f6e7?st=D1TgFo&reflink=desktopwebshare_permalink 📚 Get my bo…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
TANAPA PODCAST EPISODE 13 - Mila na Tamaduni zilizohusisha mizimu katika kuhifadhi Maliasili
54:47
54:47
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
54:47Episodi hii inakuletea mazungumzo ya kina kuhusu mila, tamaduni na makatazo ya Kabila la Wagongwe lililopo mkoani Katavi na jinsi taratibu hizo zilivyochangia kulinda maliasili na vyanzo vya maji. Mathalani; ilikuwa hairuhusiwi kukata miti iliyokuwa katika vyanzo vya maji kutokaana na imani ya kuwepo kwa nyoka mkubwa wala kuua mnyamapori hadi upewe…
…
continue reading
…
continue reading
…
continue reading
1
Kenya yaomboleza kifo cha RAILA, Jukwaa jipya la kisiasa DRC lazinduliwa
20:08
20:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:08Miongoni mwa matukio makubwa yaliyojiri wiki hii ni pamoja na wakenya kuomboleza kifo cha mwanasiasa mashuhuri aliyewahi kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo Raila Amolo Odinga, kuzinduliwa kwa jukwaa jipya la kisiasa : Okoa DR Congo, kuendelea kwa kampeni za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu kule Tanzania, kuapishwa kwa kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, na…
…
continue reading
…
continue reading