Just another Liberatr.net site
…
continue reading
Zanzibar Podcasts
”This group has truly been an inspiration to me (…)” – Amir Sulaiman (US) Def Jam Poet, 2010. Apart from the international sound of melodic acoustic soul, it is the intelligent angle on social and societal issues that really makes up the essence of S.T.I.C.S. S.T.I.C.S. or Sound That Inspires Conscious Souls, have managed to inspire and provoke their audience with lyrics and music that challenges the boarders of acoustic soul, hip-hop and spoken word. S.T.I.C.S. consists of four members who ...
…
continue reading
…
continue reading
Welcome to Tommy's Corner where I, Thomas Carroll, give a unique perspective on important affairs in the world Cover art photo provided by Joshua Hoehne on Unsplash: https://unsplash.com/@mrthetrain
…
continue reading
Nyumba ya Sanaa ni Makala ya Utamaduni ambayo inatoa fursa kwa wasanii na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.
…
continue reading
Podcast by University of York
…
continue reading
Magic Set Editor Modern is a custom magic format made up entirely of custom sets and played on Lackey and Cockatrice, and this is the podcast about it. Join Pipsqueak and a series of guests as they talk the strategy, the meta, and the nitty gritty of this wild and fun format. Discord link: https://discord.gg/Q7uZvu6
…
continue reading
The Indian Ocean World Podcast seeks to educate and inform its listeners on topics concerning the relationship between humans and the environment throughout the history of the Indian Ocean World — a macro-region affected by the seasonal monsoon weather system, from China to Southeast and South Asia, the Middle East, and Africa. Based out of the Indian Ocean World Centre, a research centre affiliated with McGill University’s Department of History and Classical Studies, under the direction of ...
…
continue reading
Kundai Manamere (University of the Free State) joins Philip Gooding to discuss her newly published book "Malaria on the Move: Rural Communities and Public Health in Zimbabwe, 1890-2015." Scholar profile: https://www.ssrc.org/fellows/f1b62cd1-500a-eb11-a813-000d3a3be5cf/ Book: https://www.ohioswallow.com/9780821425862/malaria-on-the-move/ The Indian…
…
continue reading
Steven Mumbi anaangazia sanaa ya uchongaji jijini Dar es Salaam nchini Tanzania.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
The aftermath of Cyclone Idai (2019): Youth narratives beyond official and online discourses in Zimbabwe.
25:32
25:32
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
25:32Everjoy Grace Chiimba (University of Bonn) joins Philip Gooding to discuss her ongoing paper, which explores youth narratives and organization following Cyclone Idai. Scholar profile: https://kulturgeographie-mainz.de/team/everjoy-chiimba/ The Indian Ocean World podcast is hosted by Dr. Philip Gooding, produced and edited by Sofia O’Reilly, and pub…
…
continue reading
Steven Mumbi amezungumza naye msani Real Jofu kuhusu muziki wa Bongo Fleva.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Prof. Devika Shankar (The University of Hong Kong) joins Philip Gooding to discuss her new book, An encroaching sea : nature, sovereignty and development at the edge of British India 1860-1950(Cambridge University Press, 2025). Scholar profile: https://history.hku.hk/staff-d-shankar/ Book: https://www.cambridge.org/core/books/an-encroaching-sea/F95…
…
continue reading
1
Nyumba ya sanaa: Muziki wa densi visiwani Zanzibar
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10Katika Makala ya wiki hii tunaangazia safari ya muziki wa densi visiwani Zanzibar.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Vijana wa Goma wajituma kuimarisha sanaa ya muziki na utamaduni wa Afrika
20:18
20:18
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:18Makala ya wiki hii imeangazia namna wasanii wanaoishi katika maeneo yenye vita mashariki mwa DRC wanavyojituma katika kuimarisha sanaa ya muziki na utamaduni wa Afrika. Mwandishi wetu Ruben Lukumbuka hivi karibuni alitembelea mji wa Goma mkowani Kivu kaskazini ambako alikutana na msanii wa muziki na mtengeneza filamu Malick Maliro ambaye anaeleza k…
…
continue reading
1
Fiona Williamson - Imperial Weather: Meteorology, Science, and the Environment in Colonial Malaya
36:27
36:27
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
36:27Prof. Fiona Williamson (Singapore Management University) joins Dr. Philip Gooding to discuss her recently published monograph: Imperial Weather Meteorology, Science, and the Environment in Colonial Malaya (University of Pittsburgh Press, 2025). Their discussion covers the development of meteorological science under British rule in colonial Singapor…
…
continue reading
1
Miaka 30 ya safari ya msanii Mack el Sambo mjini Goma mashariki mwa DRC
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10Hii leo ninaungana na mwenzangu Ruben Lukumbuka ambaye hivi karibuni alitembelea mji wa Goma ambako alikutana na wasanii kadhaa ambao wamo mbioni katika kuhamasisha Amani na mshikamano wa jamii kupitia Nyimbo zao, na leo kwa namna ya pekee tutaungana na msanii mkongwe wa miaka mingi katika mji huo ambaye amejiwekea sifa kubwa katika eneo la maziwa …
…
continue reading
1
Wanamuziki mjini Goma walazimika kufanyia muziki katika nchi jirani
20:06
20:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:06Mji wa Goma mashariki ya DRC unakabiliwa na changamoto baada ya waasi wa M23 kuuchukua mji huo sasa wanamuziki wanalazimika kwenda nchi jirani kufanya Muziki. Tumezungumza naye msani Sisco laga.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Sanaa ya utunzi wa vitabu nchini Tanzania na Leticia Ndanzi Bubelwa
20:13
20:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:13Imezoeleka ukisikia Utunzi wa Vitabu utawazia Vitabu vya Riwaya,Tamthilia ama Hadithi ,kutana na Leticia Ndanzi Bubelwa Mtunzi wa Vitabu vya Shajara ama kwa kimombo Journals.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Sanaa ya Muziki na Hamis Bss kutoka nchini TanzaniaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Alastair McClure - "Trials of Sovereignty"
50:07
50:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
50:07Prof. Alastair McClure (Hong Kong) joins Dr. Philip Gooding (IOWC, McGill) to discuss his first monograph, Trials of Sovereignty: Mercy, Terror and the Making of Criminal Law in British India, 1857-1922 (Cambridge UP, 2024). Their conversation covers state violence, coercive mercy, and Indian national politics under the British Raj. A specialist in…
…
continue reading
1
Tanzania: Sanaa ya uiigizaji na Lumole Matovolwa
20:15
20:15
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:15Lumole Matovolwa ni Miongoni mwa waigazi wa filamu ya kwanza ya Kibiashara nchini Tanzania ya Girl Friend amezungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Muziki wa asili hubeba ujumbe unaoakisi Utamaduni wa Jamii ,kwa Tanzania Muziki wa Singeli unatajwa kuakisi Utamaduni wa Kitanzania, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Mwanamuziki wa Muziki wa Singeli Hemed Kiduku.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Wanamuziki wachanga wajigamba kuinua muziki wa RNB kufikia malengo,Ungana na Shine 9 katika Mkala ya Nyumba ya SanaaBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Sanaa ya muziki wa kizazi kipya na msani Eddy Music
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10Safari ya Muziki wa kizazi kipya inaanzia mbali,sasa vijana wanalazimika kusafiri kutoka Mikoani kuja jijini Dar es salaam ili kufaulu kisanaa, Eddy Music ni msanii wa Muziki anazungumza na Steven Mumbi katika Makala haya.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Msanii Real Jofu asema amejifunza kuwa mvumilivu baada ya kuondoka jela
20:11
20:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:11Mara baada ya kutoka Jela Msanii Real Jofu anasema amejifunza kuwa mvumilivu ili kufikia malengo,Ungana na Steven Mumbi kaktika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Msanii huyo.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muziki wa dansi na ule wa kizazi kipya nchini Tanzania
20:03
20:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:03Mwandishi Steven Mumbi anaangazia muziki wa dansi na ule wa kizazi kipya nchini Tanzania.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Msanii sweet Brown wa Beni DRC na mziki wa jamii
20:08
20:08
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:08Sanaa ya muziki ni dawa inayofariji na kusaidia kutuma ujumbe wa amani kwa jamii amesema msanii wa miondoko mchanganyiko Gloire Tsongo almaarufu sweet Brown fresh Leader mjini Beni katika mkowa wa Kivu kaskazini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, katika mazungumzo maalum na mwandishi wa habari wa RFI Kiswahili Ruben Lukumbuka alipotemb…
…
continue reading
1
Sanaa ya Ufumaji inayotumia uzi kufuma Mavazi ya aina mbalimbali
20:16
20:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:16Sanaa ya Ufumaji ni sanaa ya Mikono inayotumia uzi kufuma Mavazi ya aina mbalimbali, kutana na Farida na Esther wasanii wanaofanya saa hizo walipozungumza na Steven mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania: Tunamuangazia Samir Kassim Rashid maarufu Samir Kinyulinyuli
20:17
20:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:17Samir Kassim Rashid maarufu Samir Kinyulinyuli ni Msanii wa Sanaa ya Muziki aliyelazimika kukimbilia Dar es salaam akitokea Morogoro ili kufanikiwa kisanaa, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa ya Jumahili.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Utengenezaji wa filamu katika eneo la mashariki mwa DRC
20:19
20:19
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:19Makala ya nyumba ya sanaa inaangazia utengenezaji wa filamu, mabadiliko ya ubunifu wa filamu unaoendana na teknolojia ya kisasa. Mbali na utovu wa usalama eneo la Beni mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, vijana pia wamekuwa wakijitahidi katika kufanikisha namna ya kuwapa burudani ya filamu…
…
continue reading
1
Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika
9:58
9:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:58Karibu katika ya Afrika mashariki hii leo macho na masikio ya Makala haya yanatazama kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika tukienega katika Mkutano wa Kimataifa wa AI kuhusu Afrika 2025, unaofanyika Kigali nchini Rwanda Mwandalizi na msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe soote hadi tamati…
…
continue reading
1
Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ?
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Kasi ya ugunduzi na uvumbuzi katika maswala ya sayansi na teknolojia na ujio wa Internet sanjali na matumzi ya mitandao ya kijamii yanafanya wajamii kuwa katika hatari kumbwa kupoteza usiri wa taarifa zao. Baada ya mabadiliko makubwa ya teknolojia yamesababisha taarifa za watu kuwa ni moja ya mtaji mkubwa kwa watu wengine na makampuni makubwa Tanza…
…
continue reading
1
Mchango wa wasanii wa Beni DRC katika juhudi za kuimarisha usalama
20:02
20:02
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:02Nyumba ya sanaa juma hili imekutana na wasanii wa mjini Beni mkoani Kivu kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ambao wamekuwa wakihimiza amani katika nyimbo zao, sanaa ya muziki ikikaribishwa kwa kiasi kikubwa na watu kutoka rika zote nchini na nje ya nchi. Mwenzangu Ruben Lukumbuka hivi karibuni alikutana na msanii wa Beni masha…
…
continue reading
1
Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Maambukizi ya kifua kikuu yanaweza kuenezwa kwa urahisi katika miji mikubwa na maeneo ya umma ambapo kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, kama vile vituo vya mabasi, masoko, na hata sehemu za kazi kama waendesha bodaboda wanavyojihusisha. Msikilizaji wa RFI Kiswahili karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwana kuangaza namna waendesha bo…
…
continue reading
1
Tunazungumza na msani B2K kutoka Njombe kusini mwa Tanzania
20:03
20:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:03Sanaa ya Muziki Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania, ni sanaa inayokua kwa kasi vijana wanawekeza kulifikia soko la Muziki Afrika Mashariki, B2K ni Msanii anayekonga Nyoyo za Wasichana zaidi kutokana na Tungo zake, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na B2K kutoka Njombe.…
…
continue reading
1
Ajira itokanayo na sanaa ya uchoraji visiwani Zanzibar
20:10
20:10
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:10Uchoraji ni Ajira ,Wasanii wa sanaa hii Zanzibar wananeemeka na kazi zao, Ungana na Steven Mumbi akizungumza na Obedience na Muki kutoka Zanzibar.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Muziki wa kizazi kipya Zanzibar umedorora ukilinganisha na hali ilivyo Tanzania BaraBy RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania: Namna wakaazi wa vijijini wanafikiwa na huduma za maji
9:50
9:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:50Namna wakazi wa maeneo ya vijijini wanafikiwa na huduma za maji nchini Tanzania.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Athari za mgogoro wa DRC katika mataifa ya Afrika
9:42
9:42
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:42Mgogoro wa Mashariki ya DRC umeendelea kwa miongo kadhaa, na bado ni moja ya changamoto kubwa za kiusalama na kisiasa Barani Afrika. Katika Mashariki ya DRC, kuna makundi ya waasi kama vile M23, ADF, Twirwaneho, ambayo yameongeza umwagaji damu na kusababisha maelfu ya watu kuhama kutoka maeneo yao. Siasa za kikanda, ushindani wa madaraka kati ya ma…
…
continue reading
1
Sanaa ya uchoraji katika Visiwa vya Zanzibar
20:16
20:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:16Wachoraji visiwani Zanzibar walia na gharama za kupata maeneo ya kunadi kazi zao za Sanaa hiyo, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na Mchoraji maarufu visiwani humo Jamal.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Muziki wa Taarab na Zanzibar Hertage Ensemble
20:13
20:13
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
20:13Taarab Asilia ni Miongoni mwa Miziki ya kale zaidi katika Mwambao mwa Bahari ya Hindi, Zanzibar Taarab Hertage Ensemble ni miongoni mwa Makundi ya Muziki huo kutoka Visiwani Zanzibar, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Umuhimu wa kutunza lugha mama katika jamii za Afrika
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tukiangaza safari ya miaka 25 ya UNESCO kuenzi lugha mama na nafasi ya lugha mama katika kukuza maendeleo ya jamii Mwandalizi na msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe sote hadi tamati ya Makala haya. Lugha ni muhimu kwa elimu na maendeleo endelevu, zikitumika kama njia kuu ambayo maar…
…
continue reading
Dr. Philip Gooding (IOWC, McGill) is joined by Adam Bobbette (Glasgow) to discuss his 2023 book, The Pulse of the Earth: Political Geology in Java, published by Duke University Press. Their conversation covers the history of plate tectonic theory, human-earth systems relationships, and how to live and do research in the Anthropocene. Dr. Adam Bobbe…
…
continue reading
1
Namna wakazi wanaoishi karibu na migodi wanaweza kufaidika na shughuli hizo
9:44
9:44
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:44Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama na kuangazia kwa namna gani wakazi wanaozunguka migodi ya madini kupitia uwajibikaji kwa jamii. Mchango wa Sekta ya Madini katika Pato la Taifa umekua, na kukua huku ni kutokana na ongezeko la asilimia 7.3 kwa mwaka 2021 hadi kufikia asilimia 9. Kwa kuzingatia umuhimu wa sekta hii serikali ya Tanzania i…
…
continue reading
1
Tanzania: Changamoto wanazokabiliwa nazo watu wenye Albinism mjini Mwanza
9:33
9:33
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:33Watu wenye ualbino Afrika Mashariki, na hasa nchini Tanzania, wanakutana na changamoto kubwa za kijamii, kisiasa na kiuchumi. Vilevile, wanakumbana na unyanyapaa, ubaguzi, na vitendo vya kikatili vinavyoweza kupelekea madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na mauaji na uharibifu wa miili yao. Ingawa jamii ya watu wenye ualbino imekuwa na umakini wa kimat…
…
continue reading
Zanzibar ilipata uhuru kamili mnamo Desemba 10, 1963, kutoka kwa Uingereza, Waarabu walio wachache walifanikiwa kushika madaraka waliyorithi kutoka kwa Zanzibar kuwepo kama eneo la ng'ambo la Oman.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Tanzania: Kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa
9:44
9:44
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:44Wiki hii tunatuwa nchini Tanzania tukiangaza kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa (UVIDA)By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Uwekezaji katika sekta ya kilimo mkoani Arusha Kaskazini mwa Tanzania
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Sekta ya Kilimo inaongoza kuwa na fursa nyingi za uwekezaji kwa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla kwa mfano uzalishaji wa Ngano, mafuta ya kupikia, matunda na mboga mboga, mbolea, Viatilifu, mbegu bora, vifungashio, kupunguza upotevu wa mazao baada ya mavuno na eneo la kilimo cha umwagiliaji.…
…
continue reading
1
Tanzania: Kumbukizi ya miaka 119 tangu kuibuka kwa vita vya majimaji
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Karibu katika Makala ya Afrika mashariki, hii leo tunatuwama nchini Tanzania katika Mkoa Lindi uliopo kusini mwa Tanzania mahali ilipo ibuka vita vya majimaji mara hii ikiwa ni kumbukizi ya miaka 119 tangu kuibuka kwa vita vya Majimaji. Vita vya Majimaji vilipata mizizi yake katika eneo la Nandete Kipatimu, ambapo jamii za Matumbi zilijitokeza kwa …
…
continue reading
1
Wiki ya vijana ilivyoaadhimishwa mjini Mwanza nchini Tanzania
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Tunaangazia jinsi vijana wanavyoweza kutumia fursa za kidijitali katika kukuza na kuimarisha shughuli zao za kiuchumi mjini Mwanza nchini Tanzania.By RFI Kiswahili
…
continue reading
Dr. Philip Gooding (IOWC, McGill) is joined by Dr. Lukas Ley and Tarini Monga (both Max Planck Institute for Social Anthropology) to discuss the research group, "S.AND - The Future of Coastal Cities in the Indian Ocean." Their conversation covers the shifting roles of sand in human environments, with particular attention to their current fieldwork …
…
continue reading
1
Tanzania: Mradi wa Jenga Kesho Bora ulivyoanza kutoa mazao kwa wafugaji wa samaki
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Namna Mradi wa Jenga Kesho Bora (BBT), unaosimamiwa na Wizara ya Kilimo nchini Tanzania ulivyoanza kutoa mazao kwa wafugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya Ziwa Victoria.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Maadhimisho ya kimataifa ya siku ya lugha ya alama
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Jamii imetakiwa kujifunza lugha ya alama ilikuweza kuwasiliana vyema na watu wanaoishi na ulemavu wa kusikia.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
James Warren - "Typhoons: Climate, Society, and History in the Philippines"
34:40
34:40
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
34:40This week, Dr. Philip Gooding (IOWC) is joined by Prof. James Warren (Murdoch) to discuss his monumental new book, Typhoons: Climate, Society, and History in the Philippines. Their conversation covers Prof. Warren's decades-long research project that led to this book, the impact of extreme storms on South East (and especially Philippine) history, a…
…
continue reading
1
EAC: Namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana
9:56
9:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:56Katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama kuangaza na kumulika namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana walio ukanda wa Afrika mashariki kupunguza ukali wa Maisha kutokana na kukosa ajira.By RFI Kiswahili
…
continue reading
1
Marit Kleinert - "Women Cooperatives on Zanzibar: Transformative Spaces of Resistance through Care"
27:11
27:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
27:11For the first episode of this season, we are trying something new. Instead of an interview, this week we turn the feed over to another, Marit Kleinert, who takes us to Zanzibar in the first episode of her new show, Beyond Theory. It is a fantastic piece of audio documentary, merging music, field recording, interview, and (yes) a little bit of socia…
…
continue reading
1
Maonesho ya awamu ya19 ya biashara katika nchi za Afrika Mashariki
9:59
9:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:59Maonyesho haya pamoja na kutoa fursa kwa makampuni ya Afrika mashariki kujifunza na kupanua wigo wa biashara za nje kwakutumia fursa zilizopo za makubaliano ya kibiashara kati ya nchi washiriki nahata kuvuka mipaka ya kufikia juuiya nyingine kwama vile SADC, AGOA,na EBABy RFI Kiswahili
…
continue reading